ushauri matokeo yangu mabaya( div zero)

Huyo ndg anayo nafasi kubwa sana ya kufanikiwa; kwani hayuko tayari kurudia makosa; atafanya kazi kwa bidii ili apate mafanikio makubwa zaidi ya waliomua kuendelea kusoma.
 
NI KWELI MTUPU INABIDI TUKUWEKE WAZI ILI 2SILAUMIANE HAPO BAADAE ( tafuta michakato mingine itakusaidia kujikwamua kimaisha kwani maisha mazuri ni juhudi za mtu binafsi na sio lazima upitie maxul, mauniversities dont gv up ihop utawin) thanks!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…