Rose Bud
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 252
- 256
Nina eneo lenye ukubwa ya karibia nusu heka maeneo ya Kimara Suka, Kama dakika tano toka Morogoro road kwa mguu. Kuna mjengo ambao haujaisha, ambao unaweza kuwa hall ya sherehe, godown, ama office. (kupangisha bank, kampuni ya simu, nk). Kwa hivyo vitatu hapo ipi italipa zaidi, kuna utaratibu gani wakupangisha bank ama ATM zao.