Ushauri: Maumivu kwenye maungio ya viungo

goswe

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
4,432
Reaction score
5,036
Habari zenu wadau,

Nimeona niwashirikishe hili ndani ya wiki hii nzima takribani nimekumbwa na tatizo la miguu na leo imeanza bega kuuma sana.

Mpaka swala la movement linapungua.Kama kuna yeyote aliewahi kukumbwa na hili hebu tupeane ushauri kabla ya daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…