Ushauri, mawazo na mchango juu ya biashara ya duka la dawa za binadamu

Twins love

Senior Member
Joined
Jan 27, 2022
Posts
114
Reaction score
160
Habari zenu wakuu, Kwa yoyote ambaye anauzoefu juu ya biashara ya kuuza dawa za binadamu ,naomba ushauri, endapo nikifungua niwe na mtaji kiasi gani Kwa kima Cha chini kabisa, pia faida zake , changamoto zake na mahala sahihi pa kuuzia.

Nisaidieni wakuu nimeona ni wazo zuri kwangu endapo nikifanya hivo lakini ninamtaji wa m1.5 , [emoji1666] naombeni mawazo yenu
 
M1.5ndogo Sana ongezea mpaka ifike M3.5hadi 4 unaweza fungua DLDM yako ila pharmacy kubwa 15-20m
 
1.5 anza na kiduka sehemu ya kodi ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…