Frank mtanganyika
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 497
- 785
Kutokana na passion yangu ya kilimo nimeona nije kwenu wadau kuomba ushauri.
Nimepata eneo ninaloishi ambalo nimewaza kufanya kilimo cha mboga mboga na matunda.
Nina uzoefu kidogo cha kilimo cha tikiti maji japo nimepanga kulima strawberry, hoho nyekundu na njano, nyanya pamoja na mboga mboga za majani kama lettuce
Ila nikaona niombe ushauri kwa magreat thinkers hapa
Eneo ni Kilimanjaro, maji yapo yakutosha masaa 24.
Naombeni ushauri wa hayo mazao ikiwemo soko pia
Nimepata eneo ninaloishi ambalo nimewaza kufanya kilimo cha mboga mboga na matunda.
Nina uzoefu kidogo cha kilimo cha tikiti maji japo nimepanga kulima strawberry, hoho nyekundu na njano, nyanya pamoja na mboga mboga za majani kama lettuce
Ila nikaona niombe ushauri kwa magreat thinkers hapa
Eneo ni Kilimanjaro, maji yapo yakutosha masaa 24.
Naombeni ushauri wa hayo mazao ikiwemo soko pia