vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,624
Kula konaHabari wakuu,
Naomba nilete kwenu jambo langu mnishauri...
Mchepuko wangu bana unapenda sana utani...Tena nimeshamkataza tabia hii ya utani utani muda mrefu haachi...Yani yeye nikichat nae ananijibu kifupi fupi mnooo...
Kwa wale wa "Weka picha"...Huu ni mfano wa mazungumzo yetu...
View attachment 335480
Najua ananipenda sana tu, but huu utani wake sio mzuri sana...Sijui nifanyeje aache
Kumbe?!Mkuu mchepuko sio dili...halaf km hutaki kutaniana na mpnz wako utataniana na nan?!
Kapewa za mbavu tupu japo inaonekana kama imetengenezwa makusudiSijaona utani hapo ila nimeona mtu hapendwi.
Nn sasa?!Kumbe?!
Utani tuNn sasa?!
Huo utani unatakiwa uufanye wakat unanibusuUtani tu