Ushauri: Mdogo wangu kampa mdada mimba

Hovyoooo hilo lidada mbuzi kbs. Pekupeku na mtoto wa shule???? Huyo mtoto nae maradhi tu. Mama yake asingenzaa ingekuwa kansa kubwa sana. Mungu tuokoe tu. Ningependa kusikia kesi ya kwanza Tz ya mwanamke kubaka mtoto
 
Huyo dogo wakati wa Sex alikuwa anatoa asali ama??..Kama alikuwa anatoa sha hawa uwezekano wa kumpa mimba upo..
 
asante kwa ushauri ila naona wote wanashauri kumpeleka mahakamani tuu,,,ila kama naye dogo alilizia kusex si italeta shida tena

italeta shida ya nini?? ukitaka kujua kama inaweza leta shida au laa ww tongoza kabinti kenye miaka 15 Katie mimba harafu uone ukifikishwa mahakamani itakuwaje ili hali mlikubaliana.

kwa kuwa wao wamekuja kindaki ndaki hapo home na wewe nenda kwao na umgeuzie kibano huyo binti kwa ubakaji alioufanya tena wakumpeleka mahakamani maana 15 yrs ni umri mdogo sana aisee.
 
Nilikuwa najiuliza kwa nini bro kaoa nesi na hajaoa mwanasheria au mwasibu nikagundua manesi wanaumuhimu sana ndani hasa kwenye vitu kama ivi. Ungekuwa nesi ungeleta Uzi mwingine

Manesi ni chakula ya Docta, braza kapotea
 
Huyo dada hana haya miaka kumi na tano jamani!!! Mimba unaingia dada as long as huyo dogo ameshabalehe
 
Huyo dogo wakati wa Sex alikuwa anatoa asali ama??..Kama alikuwa anatoa sha hawa uwezekano wa kumpa mimba upo..


Huyu mtoa mada nae anatuchanganya Tu Kwan hakusoma biology
 
Duh 15 years, sipati picha hata kidushe Chake kinalinganaje.... I guess ni size ya sigara

Hahahaha uwiii dada usijepima homa kwa mkono... usikute kijana kajaaliwa balaa. Age sio kitu ukuaji tayari kwenye viungo vyote muhimu!
 
hiyo mimba dogo alikua anaificha wapi?
kwa nini kaamua kumpa huyo dada?
mwambieni mdada anrudishie dogo mimba yake kisha dogo amkabidhi mdada mbele yenu mpate ushahidi kamili.

Hahahahahaaa duuh nimechekaa
 
Acheni kuzubaa, mfungulieni kesi ya ubakaji huyo dada coz sheria ya tanzania inamregard mtu mwenye 18 years kuwa ni mtoto
 
Hahahaha uwiii dada usijepima homa kwa mkono... usikute kijana kajaaliwa balaa. Age sio kitu ukuaji tayari kwenye viungo vyote muhimu!

Aisee hadi nmetamani hii thread ingekua na ka attachment lol
 
hiyo mimba dogo alikua anaificha wapi?
kwa nini kaamua kumpa huyo dada?
mwambieni mdada anrudishie dogo mimba yake kisha dogo amkabidhi mdada mbele yenu mpate ushahidi kamili.

itakuwa aliificha kwenye boxer
na alimpa kwa sababu alikuwa amezidiwa
 
Duuuh
 
Mimba moja inakuwa na wababa zaidi ya sita, hapo anapima upepo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…