The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
good point, lakini yy ameamua kuwa risk takerBora ukaanza biashara kidogo kidogo ukiwa unaendelea na ajira, maendeleo ya biashara yako ndiyo yakulazimishe kuacha kazi, labda kama biashara hiyo ulishaifanya unaijua.
Hapo sasa lazima acheze deal na mwajiri maana bank wamekuwa wajanja sana siku hizi .....kwanza kama una contract ya mwaka mwaka mkopo unakuwa mgumu kweli na ndio maana wanataka committment ya mwajiri...unless ufanye kosa la makusudi mwajiri akupige chini ukiwa ndani ya mkopo ili baadae mkae chini kuweka sawa mamboSi utapeli kwani anachukua mafao yake kwa mlango wa nyuma
Mkuu naona ushauri wako ni mzuri ila kama technical sana (wa kisheria). Ila kama mimi nachangia kwenye mfuko wa kijamii, halafu nataka Kuacha kazi lakini wanagoma kunipa fao la kujitoa kwanini nisikope halafu deni langu litajilipa juu kwa juuHapo sasa lazima acheze deal na mwajiri maana bank wamekuwa wajanja sana siku hizi .....kwanza kama una contract ya mwaka mwaka mkopo unakuwa mgumu kweli na ndio maana wanataka committment ya mwajiri...unless ufanye kosa la makusudi mwajiri akupige chini ukiwa ndani ya mkopo ili baadae mkae chini kuweka sawa mambo
Kwa nini usiwekeze kidogo kidogo upapata hiyo hela? usiwe na haraka mpaka ukutumia njia zisizo halali kujipatia fedha kwa udanganyifu. Kama una kipato kidogo cheza michezo kwa kupitia hela za mshahara ukifika zamu yako unachukua mzigo unaanza hiyo deal. Pia biashara zina changamoto zake calculate vizuri risks ndio uzame na kila lakheri katika hiyo shughuli mpya
Daah...wenzako nssf inakimbilia mia, wewe sita una mind !?Kuna opportunity nimeiona mahali.
Nishaifanyia intensive analysis na kuona potential yake (actually I want to take a Risk)
Tatizo nakosa vitu viwili, muda na mtaji. Ni muajiriwa serikalini na mtaji wangu bado mdogo.
Nimefikiria nichukue Mkopo taasisi yoyote ya fedha (kwa kigezo kuwa watakua wananikata kwenye mshahara) kisha niwekeze resource zote kwenye hiyo opportunity.
Pasingekua na figisu kwenye Mifuko ya pension ningeacha Kazi kisha nikachukua mafao yangu (kwa sasa yamefika almost 6 Milioni) nikatembea mbele kiroho safi.
Wakuu wangu nishaurini:
Nikisema nichukue mkopo paaap kwa kutumia ajira yangu (Mkopo nahitaji ni 5 Milioni tu) then niache kazi next month Je watanitafuta wanikamate wanipeleke mahakamani ama Makato yao watachukua kwenye Pension Fund yangu na hawatashughulika namie.
Hivi unapoacha kazi mwajiri akakuta unadaiwa Mkopo na taasisi ya fedha inakuaje hapo.
Mdogo wenu CCNP
Daah...wenzako nssf inakimbilia mia, wewe sita una mind !?
Am your motherfucker !Asshole fucking you
umenena vyema mkuuNdugu sikushauri uchukue mkopo afu ulale mbele huo ni wizi na hata biashara utakayoenda kufanya kufanikiwa kutoboa itakuwa ngumu sana kwako