Ushauri: Mradi wa Kukodisha Laptops

Ushauri: Mradi wa Kukodisha Laptops

mdaumzalendo1

Member
Joined
Feb 2, 2018
Posts
76
Reaction score
50
Habari wadau;
Katika kufanya utafiti nimegundua kuwa kuna changamoto ya utumiaji wa Laptop katika taasisi za elimu ya juu na hilo limenifanya nifikiri mradi wa kukodisha Laptops kwa wanafunzi wa Chuo.

Kwa kuanza ninafikiri kuanza na Laptop PC 25 na ninalenga kwanza vyuo vilivyopo Dar,Laptop zitakodishwa kwa shilingi 500 au 1000 kwa saa na kama mtu atahitaji kutumia wireless interenet ataongeza 500.na zitatumika ndani ya Libraries za Vyuo tu.Nimeangalia kwa haraka haraka mradi huu utawezesha vijana wasiokuwa na uwezo wa kununua laptop zao wenyewe kuweza kutumia hizi kufanyia asignments na kujisomea mtandaoni.

Kutoka kwenu wadau nahitaji maoni yenu kama ifuatavyo.

Je mradi huu unaweza kuwa na impact yoyote kwa jamii ya wasomi wetu?
Je kuna ambaye angependa kuwekeza katika mradi huu.Unaweza ama kujitolea Laptop ambayo hutumii au unaweza kuchangia pesa kidogo ili tuongeze idadi ya kompyuta.Mradi ukifanikiwa tunampango wa kuupeleka kwenye shule za sekondari na kisha baadaye shule za msingi.

Naomba maoni yenu na mengineyo

Asanteni
 
Naomba ufanye utafiti wako umpya kwa hypothesis hi mpya "kwanini wanafunzi wa vyuo wanamiliki "smart phone za bei kumbwa na wanakosa laptop za bei ya chini " sio simu tu wengine wanamiliki subwoofer za 700,000 Flat screen za 400,000 lkn wanakosa laptop ya 250,000 why why?????? majibu yatakuambia kama mradi wako watafanikiwa au la.
 
Naomba ufanye utafiti wako umpya kwa hypothesis hi mpya "kwanini wanafunzi wa vyuo wanamiliki "smart phone za bei kumbwa na wanakosa laptop za bei ya chini " sio simu tu wengine wanamiliki subwoofer za 700,000 Flat screen za 400,000 lkn wanakosa laptop ya 250,000 why why?????? majibu yatakuambia kama mradi wako watafanikiwa au la.
Nakuunga mkono mkuu.
 
Unaikumbka biashara ya internet cafe? Enzi hizo kabla ya smartphone sasa hivi hiyo biashara iko wapi? Unachotaka kukifanya kinafanana exactly na biashara ya internet cafe ila wewe umeifanya "mobile internet cafe" yaani badala ya mtu kwenda kwenye cafe laptop inamfuata mteja alipo to make the long story short mazingira ya sasa ya smartphone ni changamoto kubwa itayo face biashara yako!
 
Habari wadau;
Katika kufanya utafiti nimegundua kuwa kuna changamoto ya utumiaji wa Laptop katika taasisi za elimu ya juu na hilo limenifanya nifikiri mradi wa kukodisha Laptops kwa wanafunzi wa Chuo.

Kwa kuanza ninafikiri kuanza na Laptop PC 25 na ninalenga kwanza vyuo vilivyopo Dar,Laptop zitakodishwa kwa shilingi 500 au 1000 kwa saa na kama mtu atahitaji kutumia wireless interenet ataongeza 500.na zitatumika ndani ya Libraries za Vyuo tu.Nimeangalia kwa haraka haraka mradi huu utawezesha vijana wasiokuwa na uwezo wa kununua laptop zao wenyewe kuweza kutumia hizi kufanyia asignments na kujisomea mtandaoni.

Kutoka kwenu wadau nahitaji maoni yenu kama ifuatavyo.

Je mradi huu unaweza kuwa na impact yoyote kwa jamii ya wasomi wetu?
Je kuna ambaye angependa kuwekeza katika mradi huu.Unaweza ama kujitolea Laptop ambayo hutumii au unaweza kuchangia pesa kidogo ili tuongeze idadi ya kompyuta.Mradi ukifanikiwa tunampango wa kuupeleka kwenye shule za sekondari na kisha baadaye shule za msingi.

Naomba maoni yenu na mengineyo

Asanteni
Mkuu hiyo point ya simu kukukwamisha haina ukweli wwte , nimemaliza chuo udsm nimeona watu wana smartphone kubwa tu kama i phone zile plus na ma tablet lakn bdo wananunua na kuazima laptop za kusomea na kufanya assignments.ni wachache mno wanaotumia simu kwa asilimia mia kwenye issues za masomo.

Changamoto nnayoiona apa ni hiyo restriction ya kutumia wakiwa library tu, wengine unakuta wana ma assignment wanaenda kufanyia hostel na sehm nyingine nje ya chuo ss kuhakikisha laptop zako ziko mikono salama ndo itakua ishu ila najua ukikaa chini ukifikir utabun njia ya kulitatua hata temporarily wakat unaanza

Otherwise ni bonge la idea na nadhani tofauti na kununua hizo laptop hautokuwa na gharama nyingine kubwa zaidi ya ku i market biashara yako uanze kupiga ela.Watu kama nyinyi ndo tunawataka kwenye uchumi huu wa viwanda, jicho la fasta la kuona changamoto na kuitatua.
 
Mkuu hiyo point ya simu kukukwamisha haina ukweli wwte , nimemaliza chuo udsm nimeona watu wana smartphone kubwa tu kama i phone zile plus na ma tablet lakn bdo wananunua na kuazima laptop za kusomea na kufanya assignments.ni wachache mno wanaotumia simu kwa asilimia mia kwenye issues za masomo.

Changamoto nnayoiona apa ni hiyo restriction ya kutumia wakiwa library tu, wengine unakuta wana ma assignment wanaenda kufanyia hostel na sehm nyingine nje ya chuo ss kuhakikisha laptop zako ziko mikono salama ndo itakua ishu ila najua ukikaa chini ukifikir utabun njia ya kulitatua hata temporarily wakat unaanza

Otherwise ni bonge la idea na nadhani tofauati na kununua hizo laptop hautokuwa na gharama nyingine kubwa zaidi ya ku i market biashara yako uanze kupiga ela.Watu kama nyinyi ndo tunawataka kwenye uchumi huu wa viwanda, jicho la fasta la kuona changamoto na kuitatua.
Nimependa maoni yako sababu ya kutaka watu watumia hizi PC wakiwa maktaba ni katika kuhakikisha pia watu wanakuwa na utamaduni wa kukaa maktaba na kusoma vitabu.Kuhusu smartphone nakubaliana na wewe kwamba kweli kuna watu wanamiliki smu za bei mbaya kwa ajili ya instagram na hawana laptops.

Naendelea kusoma maoni na michango ya wadau ili niboreshe mradi
 
Wazo Zuri, ila sahau kuweza kufanya kazi wazo lako, wanafunzi wanaazimana tu laptop hawezi kukodi uwo ndio ukweli na linapokuja swala la assignment wengi hata waliokuwa nazo hivo PC wanapeleka kwa watu wa-typiwe nimeli experience hilo swala, na kuhusu kufanya internet cafe iyo ndio haiwezi fanya kazi kabisa watu wana simu.
 
Sikushauli kabisa maana internet kila mtu ana Smart phone. Alafu assignment watu wanapeleka kutype kwa 100 kwa kila page. Labda first year ndio utawapata. Kwaio utawekeza hela nyingi bila kipata faida ayo ndio maon yangu. Maan watu waaazimana laptop tena bure kama ukiitaji
 
mkuu sitaki kuku-katisha tamaa, ila inaonekana hujafanya vizuri market research yako.
-wanafunzi wanaazimana pc, hawezi kutoa 1000 kwa lisaa wakati ataazima kwa rafiki yake siku nzima tena buree.
 
una wazo zuri lkn sasa changamoto zake ni kwamba ,computers(Laptops),internet siku hizi siyo shida sana kupatikana,PCs wanafunzi wanaazimana tena bure kbs, unakuta hostel room kuna PC 1 inazunguka kwa members wote wanaazimana tu, na kama assignments wengine hupeleka stationery for typing. Hivo nafikiri itakua ngumu kiasi mtu kukodi pc kwa hela afu mazingira pia ni limited only in Libraries?.Ila umefikiria mbali mkuu safi sana
 
Kwa maisha haya kweli na kila kitu kwenye smart phone na lap top zakuazima in buree nilipe buku?....
 
Back
Top Bottom