Ushauri: Mtaani kwetu kuna mama anashindwa kuwakanya watoto wake ambao wanafanya vitendo viovu

Ushauri: Mtaani kwetu kuna mama anashindwa kuwakanya watoto wake ambao wanafanya vitendo viovu

jema47

Member
Joined
Nov 14, 2023
Posts
7
Reaction score
5
Kaka shikamoo...

Kuna MAMA huku MTAANI kwetu ni katili sana, WATOTO wake wanafanya mambo ya hovyo yakuumiza na yakumchukiza hadi MUNGU

Cha ajabu haongei wala kukemea chochote yaani mpaka tunajiuliza au yeye ndo anawatuma?

Na kuna wengine wanamsifia sana kwamba hakuna kama MAMA na wanataka wampe tena dhamana na muda mwingine aendelee na MALEZI

Ila kuna mzee mmoja alitushauri tuhame MTAA na huku akijua kabisa kwa busara zake kwamba jambo la kuhama MTAA haliezekani…

INAUMIZA


#mtaani_kwetu_kivyetuvyetu
 
Kaka shikamoo...

Kuna MAMA huku MTAANI kwetu ni katili sana, WATOTO wake wanafanya mambo ya hovyo yakuumiza na yakumchukiza hadi MUNGU

Cha ajabu haongei wala kukemea chochote
yani mpaka tunajiuliza au yeye ndo anawatuma??

Na kuna wengine wanamsifia sana kwamba hakuna kama MAMA na wanataka wampe tena dhamana na muda mwingine aendelee na MALEZI

Ila kuna mzee mmoja alitushauri tuhame MTAA na huku akijua kabisa kwa busara zake kwamba jambo la kuhama MTAA haliezekani…

INAUMIZA


#mtaani_kwetu_kivyetuvyetu
mkuu ongezea maelezo hapo mambo ya hovyo yapo mengi sana...
 
Kitakachofuata hao watoto wake wapumbavu nao wataanza kutekwa na kupotezwa. Ninyi wananchi mna nguvu ya kuwapoteza mapema sana na kwenda kumteka hadi huyo mama yao.
 
Huyo mama ni Queen Nzinga of Ndongo and Matamba Kingdom namjua vizuri
Tena ana A.K.A yake anajiita Dumb 🐸

Au nasema uongo ndugu zangu wa Angola?
😁😁😁
 
Kaka shikamoo...

Kuna MAMA huku MTAANI kwetu ni katili sana, WATOTO wake wanafanya mambo ya hovyo yakuumiza na yakumchukiza hadi MUNGU

Cha ajabu haongei wala kukemea chochote
yani mpaka tunajiuliza au yeye ndo anawatuma??

Na kuna wengine wanamsifia sana kwamba hakuna kama MAMA na wanataka wampe tena dhamana na muda mwingine aendelee na MALEZI

Ila kuna mzee mmoja alitushauri tuhame MTAA na huku akijua kabisa kwa busara zake kwamba jambo la kuhama MTAA haliezekani…

INAUMIZA


#mtaani_kwetu_kivyetuvyetu
SIku watoto wa mama hawatupi watu mbali. Utaokotwa Dar hii hii. Sasa kama ndugu zako wapo nje ya Dar utaishia kuozea mochwari.
 
Angalau nimefunzu saivi nina D mbili baada ya kuuelewa huu uzi....watoto lazima wamsifie mama maana mama anawapa chakula cha nguvu kabla na baada ya kazi za kitaa za kusulubu wanyonge.
 
Hawa form four wakishamaliza shule wanajaza nyuzi za hovyo hovyo sana humu

Eti hii nayo thread?
Polisi na tis kujeni tekeni hii ng'ombe
ni kama ulilazimishwa kufungua thread mkuu😑
 
Kitakachofuata hao watoto wake wapumbavu nao wataanza kutekwa na kupotezwa. Ninyi wananchi mna nguvu ya kuwapoteza mapema sana na kwenda kumteka hadi huyo mama yao.
tulichotaka tu uyu mama awalee watoto wake kama mama zetu wanavyotulea…sisi mbona tuna adabu na hatujawahi mkosea mtu
 
mkuu ongezea maelezo hapo mambo ya hovyo yapo mengi sana...
nashindwa kaka inaweza ikawa kijana wake mmoja yupo hum na nikiyataja hayo ya hovyo yakanikuta kama yaliyomkuta kaka yangu mkubwa alipigwa mtaani na mke wake wakamchukua😔😔
 
Back
Top Bottom