LIFE PAIN GAIN
Member
- Oct 25, 2021
- 98
- 98
Wewe unautaalamu wowote wa ufundi garaji?Wakuu hii ni kuhusu biashara ya spares za magari, spanners na lubricants zote.
Ningependa kujua huo mtaji wa 26m utatosha nijizatiti vizuri?
Je maeneo gani yanafaa kuweka biashara ya aina hii ili nipate mzunguko mzuri?
Je hii ni idea nzuri au nitakuwa nimemwaga pesa ambapo sitapata return
Nasikilizia mawazo yenu
NoWewe unautaalamu wowote wa ufundi garaji?
dah, mbona haujamalizia NATUMAI MLETA MADA UMEPATA MUONGOZOInatosha, inapendeza zaidi kwenye maeneno yenye mafundi wa magari...
Achana na hiyo biashara utapoteza mtaji, manaake utategemea watu wenye ujuzi kwa kila kitu, hiyo inakua sio biashara
Mkuu nina experience ya miaka 2 ktk hii biashara, kiukweli ni nzuri,ila nakushauri tengeneza urafik na mafundi gerageWakuu hii ni kuhusu biashara ya spares za magari, spanners na lubricants zote.
Ningependa kujua huo mtaji wa 26m utatosha nijizatiti vizuri?
Je maeneo gani yanafaa kuweka biashara ya aina hii ili nipate mzunguko mzuri?
Je hii ni idea nzuri au nitakuwa nimemwaga pesa ambapo sitapata return
Nasikilizia mawazo yenu
Very nice, ahsante, mkuuMkuu nina experience ya miaka 2 ktk hii biashara, kiukweli ni nzuri,ila nakushauri tengeneza urafik na mafundi gerage
Wenye wagari wengi wakifika gerage wana waachia mafundi gari yaan ndio akague gari wapi bovu..
Sasa fundi ndio anakagua ugonjwa na huwa wana tabia ya kuongeza ata ugonjwa
Pia ukianza nakushauti uanze na spare za chin huko ndiko.magari.mengi huaribika e.g bush, cv joint, stablizer link, bearing, fan belt ... Brake pads na shuu zake,