Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

Huko mlipo hakuna wauza mkaa,

Wanaume tunapachikwa jina la ukatili lakini niwaibie siri sisi ni watu wa utaratibu tu. Utaratibu usipofuatwa na kuzingatiwa ni kujiandaa kwa lolote.
 
Ana akili za kuchepuka kwa tamaa, ila hakuwa na akili za kuhakikisha mali zinakuwa zake hata kwa kuuziwa kiuongo na huyo mchepuko. Ndio dhambi yako imemtafuna kwa akili tangu mwanzo.

Pambana na khali yako labda binti yake akubali kufanya DNA. Hata kuweka savings account hukuweka. Ukome
 

Utaishia kupoteza na ndoa. Hesabu hasara tu. Hiyo tamaa ya mali uliyonayo itakuua, mama ungekuwa mchepuko usiye na ndoa ingekuwa rahisi ila kwa hali yako hiyo, unataka kufa na watoto hao pia inaonekana huwapendi.

Huo mpango uta backfire vibaya mno na utakuja kujuta. Chukua hamsini zako tu.
 
Ukitoa mahala andika wapi umetoa, ilo ijulikane wewe sio mwandishi wa haya. Labda kama ni wewe muhusika humu Jamiiforums.
 
Wanaume wote wenye watoto wanne,mke mfanyakazi,mmoja wenu ndo huyo aliyepigwa
 
Tulia...unakoelekea utakosa vyote kwa pamoja, una mume tunza ndoa yako hayo mengine sahau.

Unataka kudai mali kama nani?

Tumia akili
Hivi unafikiri ataelewa na uroho wa mali ushamuingia.

Pia akifikiria majukumu yote yanamuangukia wakati mwanzo alikuwa anaishi bila stress sasa anatakiwa apambane watoto wasome tena ukute walikuwa wanasoma shule za gharama.

Ila pia alikuwa mzembe wewe unajua kabisa mtu ana mke wake wa ndoa kwanini hakumuomba awekeze kwa wanae yeye awe msimamizi.
Pagumu hapa.
Halafu hii story sidhani kama ina uhalisia

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe mpumbavu kweli mali zimekupofusha ufahamu.
 
Mm huwaga nasema nitaua mtu haya mambo nilelee mtoto afu nijue sio wangu ww mwanamke unakufa na mm nakufa
 
Duuh...! Kuna watu mna tamaa duniani. Nafikiri umesahau msemo usemao “MTAKA VYOTE KWA PUPA.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…