USHAURI: Mwakani Simba Sc na Simba Queens tu ndio zikashiriki CAF champions league ili kuepusha aibu kwa taifa

USHAURI: Mwakani Simba Sc na Simba Queens tu ndio zikashiriki CAF champions league ili kuepusha aibu kwa taifa

ToniXrated

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,134
Reaction score
2,993
Ni muda sasa kwa taifa la Tanzania kuamua kuondoa aibu katika mashindano ya kimataifa ya klabu bingwa barani Africa kwa kuruhusu timu mbili tu ziende likaliwakilishe Taifa. Timu hizi si nyingine bali ni Simba sc na Simba Queens.

Washiriki wengine wamezidi kulitia aibu taifa.Ni wito wangu kwa Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya michezo na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) waruhusu jambo hili lipite.Nafasi ya Yanga Sc katika michuano ya kimataifa ichukuliwe na Simba Queens.

Wako mtiifu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naungana na mtoa mada...watu million.31 hawajui kama wala miogo nao wanashiriki haya mashindano...
 
Ni muda sasa kwa taifa la Tanzania kuamua kuondoa aibu katika mashindano ya kimataifa ya klabu bingwa barani Africa kwa kuruhusu timu mbili tu ziende likaliwakilishe Taifa. Timu hizi si nyingine bali ni Simba sc na Simba Queens.

Washiriki wengine wamezidi kulitia aibu taifa.Ni wito wangu kwa Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya michezo na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) waruhusu jambo hili lipite.Nafasi ya Yanga Sc katika michuano ya kimataifa ichukuliwe na Simba Queens.

Wako mtiifu
Hii ni baada ya kuwa mabingwa wa kombe la Mapinduzi kule Zanzibar, kwa mara nyingine tena, bila shaka.
 


Sisi Serikali Hili Tumelichukua Tutakwenda Kulitazama Vizuri Sana Kuepusha Aibu, Ambayo Inatupata Sasa Hivi

Nawaomba Mkae Kwa Kutulia, Hao Uliowataja Ndiyo Wawakilishi Wetu Rasmi
 
Timu nyingine ni kweli zinadhalilisha tasnia ya soka la nje ya Nchi.

Kama Azam na Mihogo fc, Nk. Kama wangekuwa wanacheza mechi kwa juhudi na maarifa kama wanavyo cheza mechi dhidi ya Simba, nina uhakika wangefanya vizuri katika mechi za kimataifa.

Wakikutana na mechi za kimataifa wanakuwa wabovu kupindukia hadi wanatia huruma.
 
Back
Top Bottom