Ushauri na muongozo kuhusu biashara ya mifuko ya plastic na ile ya karatasi

Kweli maada yangu nahisi haijaeleweka !!
Rambo (mifuko) za jumla

Viroba (pombe) ....pombe za kwenye packet
 
Kweli maada yangu nahisi haijaeleweka !!
Rambo (mifuko) za jumla

Viroba (pombe) ....pombe za kwenye packet
Mm nafanya hiyo biashara ila ni kwa reja reja nipo mbeya naninachukulia mzgo hapa hapa mbeya. Ila haojamaa wanaoniuzia wanachukua dar so kama unaweza ukaanza kwa kuchukulia huku pia sio mbaya coz kunawatu wanauzia sumbawanga chunya na songwe wanachukua hapo.
 
Unafanya IPI ya Rambo au ya viroba vya pombe
 
Habari zenu wana jukwaa!
Kuna kijana amefikiria kuanzisha utengenezaji wa mifuko ya karatasi kama huu hapa . Kwa mwenye uelewa juu ya biashara hy ya mifuko ya karatasi ushauri wako ni muhimu ila Uwe wa kujenga.
Ahsante.
 
zinaitwa craft paper bags ..... wenzetu hata hapo jirani Kenya hata chips zinawekwa kwenye Mifuko ya karatasi na siyo Rambo au plastic laini ..... karatasi za chakula huwa zinakuwa special na hujulikana kama food grade paper bags

good idea
 
Hio safi mbona kiwanda cha hio mifuko tunacho mafinga kinaitwa mgororo kwahio bei itakua cheap kama rambo na uchafuzi wa mazingira utapungua
Ila nasiku sana sijaona mifuko ya aina hii sokoni au ushindani wa biashara umekipoteza kikashindwa kuzalisha??
 
Ila nasiku sana sijaona mifuko ya aina hii sokoni au ushindani wa biashara umekipoteza kikashindwa kuzalisha??
Soko lilikuwa dogo sana ndo mana pindi jpm anaingia madarakani alikikuta hakizalishi moja yA sababu ya kutozalisha ilikua soko dogo
 
Hailipi kwa dar ile grade ya shopping wengi hawawezi nunua labda ma boutique. Kifupi hand-made inalipa arusha tu maana wanauza makampuni ya utalii mbugani ambayo kwao ni lazima. Ila kujaribu sio kushindwa.
Mm Niko mwanza ninafikiria kuanza na wauza chips na nyama China pamoja na wauza bites MF vitumbua, maandazi n.k
 
Mm Niko mwanza ninafikiria kuanza na wauza chips na nyama China pamoja na wauza bites MF vitumbua, maandazi n.k

Kujaribu sio kushindwa mkuu...give it a trial utajifunza mawili matatu...ila muuza vitumbua kutumia mifuko ile haitamplipa maana faida yake labda sh 50, ule mfuko huwezi uza chini ya sh 300 ile mikubwa kupata faida...may be hii midogo midogo ya kilo moja. Ambayo inauzwa kwa uzito..unakuta iko 120 inauzwa elfu2500. But jariby ujue mwanza kusafi...unachoweza kufanya ni kutarget wauza baga na restaurant
 
Mm Niko mwanza ninafikiria kuanza na wauza chips na nyama China pamoja na wauza bites MF vitumbua, maandazi n.k

Mkuu nakushauri fanya utafiti wewe BINAFSI na wa KINA kwanza ujue mambo kadhaa yanayohusu biashara hii. Kumbuka hatua ya utafiti ukifanya vizuri itakusaidia SANA huko mbeleni.Nakutakia kila la heri. Utupatie mrejesho hapa kadiri utakavyokuwa unaendelea!
 
Usijari kaka ndy nafanya marketing survey kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…