Ushauri: Nahitaji kununua bodaboda ya mchina kwa ajili ya biashara.

rajoh

Senior Member
Joined
Jun 2, 2011
Posts
174
Reaction score
142
Heshima kwenu wakuu!

Hivi ni wapi naweza kupata bodaboda nzuri na kwa bei rahisi hapa Dar?

mwenye taarifa anijuze pls. nataka kununua wiki hii. nataka kuwekeza kidogo kwenye nyanja hiyo.

asanten.
 
pikipiki ya kichina, fanya utafiti kidogo kwa waendesha pkpk, watakupa DETAILS ambazo ni so practical. Go ahead but PLAN WELL YOUR BUSINESS!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…