USHAURI: Namna ya kufungua kesi mahakamani

USHAURI: Namna ya kufungua kesi mahakamani

PRINCEd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
860
Reaction score
620
Wanajamvi habari za mchana, nina iman kila mmoja anapigina kwa nafsi yake ili kupata unafuu wa maisha....


Nisiwachoshe, habari yenyewe iko hivi.....

Kuna mtu ambaye nlikuwa namkopesha hela kwa riba (bila kuandkishana popote kwan nlikuwa namuamini) kias cha tsh 500,000/= kwa riba ya asilimia 15, kila mwezi sasa hapo katikati akadai amekwama na malipo yakasimama kwa miezi mitatu hiv nikajikuta, Riba pamoja na mtaji namdai kias cha tsh 725,000/= hivi. tukakaa mezani tukakubaliana alipe hiyo hela ila akaniomba alipe polepole akawa ananipa laki mbili, laki moja mpk nlitepa hii ishu jamvin baki ni tsh 290'000, mwsho akaanza kuwa na kauli ambazo sio rafiki nikaamua kwenda polisi ambako kule aliandka maelezo kuwa atanilipa hela iliyobaki kwa miezi mitatu, kwa maana ya Laki moja kila mwezi.

Kwa sasa nna uhitaji na pesa nataman kwenda mahakaman au awekwe ndan anilipe pesa yangu mara moja, nna uhitaji na pesa......

Maswali yangu...
1. Ni process zipi nifate ili akamatwe awekwe ndani

2. Nifanyeje ili nipate hela yangu. Je, kwnda mahakaman ni sawa kwa ishu kama hii

3. Huyu jamaa nimtumishi je niende kwa bosi wake ambae ni mkurugenzi

4. Kipi sahihi kwa sasa nipate hela yangu....


5. Mwenye hoja ambayo itatoa msaada wa haraka.....

Naomba kuwasilisha.......
 
Hapo mlishaandikishana police kwahiyo inabid usubir tu kila mwez akulipe huwez kumuweka ndani wakati mlishaandikishana.
 
Polisi atukukubaliana mm nlienda nikaandka maelezo yangu na yeye akaitwa ndo aka
 
Hapo mlishaandikishana police kwahiyo inabid usubir tu kila mwez akulipe huwez kumuweka ndani wakati mlishaandikishana.
Mkuu polisi kila mtu alienda kuandka maelezo yake mim nliandka ninavyomdai na yeye aliandika kivyake kwa kukubali kulipa deni kwa utaratibu huo nlioandika juu
 
Duh pole sana, ngoja waje wanasheria watakupa ushauri mzuri tu.
 
Wanajamvi habari za mchana, nina iman kila mmoja anapigina kwa nafsi yake ili kupata unafuu wa maisha....


Nisiwachoshe, habari yenyewe iko hivi.....

Kuna mtu ambaye nlikuwa namkopesha hela kwa riba (bila kuandkishana popote kwan nlikuwa namuamini) kias cha tsh 500,000/= kwa riba ya asilimia 15, kila mwezi sasa hapo katikati akadai amekwama na malipo yakasimama kwa miezi mitatu hiv nikajikuta, Riba pamoja na mtaji namdai kias cha tsh 725,000/= hivi. tukakaa mezani tukakubaliana alipe hiyo hela ila akaniomba alipe polepole akawa ananipa laki mbili, laki moja mpk nlitepa hii ishu jamvin baki ni tsh 290'000, mwsho akaanza kuwa na kauli ambazo sio rafiki nikaamua kwenda polisi ambako kule aliandka maelezo kuwa atanilipa hela iliyobaki kwa miezi mitatu, kwa maana ya Laki moja kila mwezi.

Kwa sasa nna uhitaji na pesa nataman kwenda mahakaman au awekwe ndan anilipe pesa yangu mara moja, nna uhitaji na pesa......

Maswali yangu...
1. Ni process zipi nifate ili akamatwe awekwe ndani

2. Nifanyeje ili nipate hela yangu. Je, kwnda mahakaman ni sawa kwa ishu kama hii

3. Huyu jamaa nimtumishi je niende kwa bosi wake ambae ni mkurugenzi

4. Kipi sahihi kwa sasa nipate hela yangu....


5. Mwenye hoja ambayo itatoa msaada wa haraka.....

Naomba kuwasilisha.......
Polisi ulifungua kesi gan dhidi ya mdaiwa??

Hiyo kesi sio jinai mkuu!. Kwa tafsiri sahihi ya kisheria. So haikuwa na sababu za kwnd polisi kwan kwa mjib wa sheria na kanuni za polisi (PGO) polisi hawahusiki na kesi za madai.

Polisi watakwambia eti (kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu) lakn kisheria kwa mazngira uliyosema HAKUNA KOSA KM HILO HAPO! (See Kahama kesi 1983) TLR 81. Ndo maana hawajapeleka jalada hlo mahakamani kwa mjibu wa sheria (Cap 20 R.E 2002)

Kumkopesha mtu kwa riba ni KINYUME cha sheria ya Bank ya mwaka 2011 kwan ww hujasajiliwa kutoa mikopo kwa riba na HAULIPI USHURU kwa huduma hyo. So uliingia mkataba wa kawaida tu.

Nenda mahakaman ukafungue kesi ya madai kudai pesa yako (500,000) mahakama ndo km itaona kuna haja ya kutoa na riba, itatoa riba za kimahakama (kati ya 7% -12%)

NB; Tutii sheria bila shuruti!
 
Polisi ulifungua kesi gan dhidi ya mdaiwa??

Hiyo kesi sio jinai mkuu!. Kwa tafsiri sahihi ya kisheria. So haikuwa na sababu za kwnd polisi kwan kwa mjib wa sheria na kanuni za polisi (PGO) polisi hawahusiki na kesi za madai.

Polisi watakwambia eti (kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu) lakn kisheria kwa mazngira uliyosema HAKUNA KOSA KM HILO HAPO! (See Kahama kesi 1983) TLR 81. Ndo maana hawajapeleka jalada hlo mahakamani kwa mjibu wa sheria (Cap 20 R.E 2002)

Kumkopesha mtu kwa riba ni KINYUME cha sheria ya Bank ya mwaka 2011 kwan ww hujasajiliwa kutoa mikopo kwa riba na HAULIPI USHURU kwa huduma hyo. So uliingia mkataba wa kawaida tu.

Nenda mahakaman ukafungue kesi ya madai kudai pesa yako (500,000) mahakama ndo km itaona kuna haja ya kutoa na riba, itatoa riba za kimahakama (kati ya 7% -12%)

NB; Tutii sheria bila shuruti!
Mkuu hivi sheria zinasemaje kuhusu kutoa mahari? na kipi kiwangosahihi cha mahari?
 
we mwenyewe mwizi tu, kwenye hiyo biashara umelipaga Kodi sh ngapi serikalini?
 
Mkuu hivi sheria zinasemaje kuhusu kutoa mahari? na kipi kiwangosahihi cha mahari?
Hakuna kiwango cha mahari kilichowekwa na sheria hlo ni suala la maelewano pekee!. Kuhusu namna ya utoaji itatehemea na aina ya ufungaji wa ndoa (sio aina ya ndoa NO) mfumo unaoutumia kufunga ndoa yko mfn. Civil marriage, traditional, or religious. So hutegemea ni ndoa ya mfumo gan.
 
Polisi ulifungua kesi gan dhidi ya mdaiwa??

Hiyo kesi sio jinai mkuu!. Kwa tafsiri sahihi ya kisheria. So haikuwa na sababu za kwnd polisi kwan kwa mjib wa sheria na kanuni za polisi (PGO) polisi hawahusiki na kesi za madai.

Polisi watakwambia eti (kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu) lakn kisheria kwa mazngira uliyosema HAKUNA KOSA KM HILO HAPO! (See Kahama kesi 1983) TLR 81. Ndo maana hawajapeleka jalada hlo mahakamani kwa mjibu wa sheria (Cap 20 R.E 2002)

Kumkopesha mtu kwa riba ni KINYUME cha sheria ya Bank ya mwaka 2011 kwan ww hujasajiliwa kutoa mikopo kwa riba na HAULIPI USHURU kwa huduma hyo. So uliingia mkataba wa kawaida tu.

Nenda mahakaman ukafungue kesi ya madai kudai pesa yako (500,000) mahakama ndo km itaona kuna haja ya kutoa na riba, itatoa riba za kimahakama (kati ya 7% -12%)

NB; Tutii sheria bila shuruti!
Mkuu asante mm nataka awekwe ndani hata kidogo ni mtumishi tena mwalim je kesi kama hii aiwez pelkea afukuzwe kazi nicje muharibia zaidi
 
Mkuu asante mm nataka awekwe ndani hata kidogo ni mtumishi tena mwalim je kesi kama hii aiwez pelkea afukuzwe kazi nicje muharibia zaidi
Mkuu, mtumishi wa umma kufukuzwa kazi hutokea pale ambapo ameshtakiwa kwa kosa la jinai na AKAKUTWA NA HATIA NA MAHAKAMA (convicted) na sio kutuhumiwa pekee (suspected) so kuwekwa ndan pekee hakutoshi kwa mtumishi kufukuzwa kazi kwan ni had pale itakoputwa na hatia na kuhukumiwa kifungo zaidi ya miezi 6 (...is found guilty & convicted to.....)

*Kwa mjibu wa PUBLIC STANDING ORDERS 2009
 
Mkuu, mtumishi wa umma kufukuzwa kazi hutokea pale ambapo ameshtakiwa kwa kosa la jinai na AKAKUTWA NA HATIA NA MAHAKAMA (convicted) na sio kutuhumiwa pekee (suspected) so kuwekwa ndan pekee hakutoshi kwa mtumishi kufukuzwa kazi kwan ni had pale itakoputwa na hatia na kuhukumiwa kifungo zaidi ya miezi 6 (...is found guilty & convicted to.....)

*Kwa mjibu wa PUBLIC STANDING ORDERS 2009
Mkuu ulisema hili si kosa la jinai inaweza fafanua kuhusu jinai na makosa ya jinai ni yapi kwa mfano....

Samahn kwa usumbufu
 
Mkuu ulisema hili si kosa la jinai inaweza fafanua kuhusu jinai na makosa ya jinai ni yapi kwa mfano....

Samahn kwa usumbufu
Jinai ni kosa zidi (against) jamhuri/state ambalo limetamkwa na sheria. (Sheria ya adhabu sura 16 toleo la 2002 pamoja na sheria nyingine andishi)
Mfano Wizi, kubaka, kupigana hadharani, Kusema uongo mahakamani ukiwa umeapa kusema ukweli, Kuua, Kushambulia mtu, Kufanya mapenzi na ndg wako wa damu, Uhaini, Kuharibu mali ya mtu mwngne, ni mengi sana ambayo cwezi taja yote hapa.

Makosa ambayo si jinai yaan madai ni KOSA DHIDI YA MTU MMOJA NA MWINGINE (sio jamhuri) na makosa haya yanatokana na mambo makuu mawili 1. Mkataba (Contract) na 2. Udhi/Maudhi (Torts) mfno ni km
Ugoni, Kuvamia shamba la mtu, kuvunja makubaliano ya kisheria (sio kijamii) Kumuonesha mtu mwngne hadharani maumbile yako ya siri, Kudhalilisha sifa nzuri ya mtu mwingne, masuala yote ya ndoa km talaka matunzo ya mama/mtoto, etc
 
Back
Top Bottom