Ushauri: Namuonea huruma binti wa kidato cha kwanza

Ushauri: Namuonea huruma binti wa kidato cha kwanza

MOONFISH

Senior Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
135
Reaction score
268
Habari wandugu.

Niko hapa sijajua kama ni ku shauriaana au kuwa pasha habari?
iko hivi tokea juzi kuna jamaa alikuja kunitembelea mkoa x baada ya kukaa nae tokea jana akawa kama hayuko kwenye hali ya kawaida ikabidi nimuulize ila aligoma ikabidi jioni tutokea kwenda out kidogo baada ya ya bia mbili 3 akaniambia kuwa ana mdogo wake ambaee ndo ana muaangaikia kuhusu swala la ada na matumiazi madogo maana yuko huko kijiji x.

sasa tatizo lililopo ni nikuwa binti huyo wa 4m one anamimba ya miezi mi 4 inana maanisha tumbo ni kubwa la miezi mii nne.

Sasa jamaa akawa ana jaribu kuniomba ushauri mwanzoni nili mshauri atoe maana sikujua kama mimba ni ya 4 month na leo tena kaniuliza dawa gani za kutoa mimba ila nili mjibu kuwa sijuiii so ni vizuri zaidi kama akiulizia.

Alikuja aka mpigia simu bibi mmoja akasema kwamba ana weza kuitoa ila njia anayo tumia sasa nilivyo sikia nikasema hapana huuu ni ukatili nika mdanganya nika mwambia kuwa zipo njia salama na nika mtajia vidonge ambavyo havipo duniani (kutunga jina) ila asiwe na ile akili ya kutoa mimba kienyeji.

Tukirudi nyuma kidogo kuhusu binti alishindwa kutaja nani kampa mimba maana alikuwa anasema ni mwaka jana dec ila ukihesabu unaona kabisa ni uongo maana angekuwa amejifungua, nikamuomba jamaa akae nae aonge nae vizuri ili ajue kiundani binti aka funguka kuwa alitoka na watu zaidi ya wa 5 na katika hao wa 3 wali mbakaaa na wali mla kwa zamu mpaka asubuhiii na mwingine ni ndugu yake kabisa ambaee yupo karibu na mwingine ali mbaka kipindi maji yalikuwa ya shida alienda kuchota kisimani.

Jamaa alivyo nifuata na kuniomba ushauri nika mwambia kama watu ni wengi ni ngumu sana kuelezea na kutafuta baba ni nani cha msingi tafuta suluhisho lingine.

Huruma ni kwa binti maana bado ni mdogo na darasani alikuwa yuko vizuri kweli shida iliopo mpaka sasa ni kuwa binti wanataka kumtoa mimba ya miezi 4 na kesho ndo wanaenda kujua ina mda gani na familia haitaki mtoto hata wala kwenda mahakamani.

Nimeombwa ushauri ila nimeshindwa huruma yangu ni binti asije akakata moto tu maana wanataka kumtoa kienyeji na madawa.

Mwandiko rekebisha mwenyewe.

Done.
 
Wamuache tu ..save maneno haya wakimtoa mawili anaweza kufa au atakuja para nyingine hata form 4 hatofika .mkuu ni experience ya machalii kadhaa si chini ya wanne walishatolewa mimba baada ya miezi sita wakapata nyingine mmoja alikufa ,wote hao wakipata nyingine soon baada ya kutolewa mmoja alidai kabakwa na kufanya kama script baada ya kutolewa ili aendelee na shule ndo kwanzo shule alikataa na kupata nyingine akafukuzwa shule hata mock form 4 hajamaliza .

Asipende kushiriki dhambi kama za ivyo ni hatar sana! Huyo dogo hapo atakuwa kanywea ngoja itokee kama wamemfungulia atakuwa kicheche balaa.
 
Amwache azae,anyonyeshe,kisha atarudi shule.tena atakuwa kupanga zaid
 
Habari wandugu.

Niko hapa sijajua kama ni ku shauriaana au kuwa pasha habari?
iko hivi tokea juzi kuna jamaa alikuja kunitembelea mkoa x baada ya kukaa nae tokea jana akawa kama hayuko kwenye hali ya kawaida ikabidi nimuulize ila aligoma ikabidi jioni tutokea kwenda out kidogo baada ya ya bia mbili 3 akaniambia kuwa ana mdogo wake ambaee ndo ana muaangaikia kuhusu swala la ada na matumiazi madogo maana yuko huko kijiji x.

sasa tatizo lililopo ni nikuwa binti huyo wa 4m one anamimba ya miezi mi 4 inana maanisha tumbo ni kubwa la miezi mii nne.

Sasa jamaa akawa ana jaribu kuniomba ushauri mwanzoni nili mshauri atoe maana sikujua kama mimba ni ya 4 month na leo tena kaniuliza dawa gani za kutoa mimba ila nili mjibu kuwa sijuiii so ni vizuri zaidi kama akiulizia.

Alikuja aka mpigia simu bibi mmoja akasema kwamba ana weza kuitoa ila njia anayo tumia sasa nilivyo sikia nikasema hapana huuu ni ukatili nika mdanganya nika mwambia kuwa zipo njia salama na nika mtajia vidonge ambavyo havipo duniani (kutunga jina) ila asiwe na ile akili ya kutoa mimba kienyeji.

Tukirudi nyuma kidogo kuhusu binti alishindwa kutaja nani kampa mimba maana alikuwa anasema ni mwaka jana dec ila ukihesabu unaona kabisa ni uongo maana angekuwa amejifungua, nikamuomba jamaa akae nae aonge nae vizuri ili ajue kiundani binti aka funguka kuwa alitoka na watu zaidi ya wa 5 na katika hao wa 3 wali mbakaaa na wali mla kwa zamu mpaka asubuhiii na mwingine ni ndugu yake kabisa ambaee yupo karibu na mwingine ali mbaka kipindi maji yalikuwa ya shida alienda kuchota kisimani.

Jamaa alivyo nifuata na kuniomba ushauri nika mwambia kama watu ni wengi ni ngumu sana kuelezea na kutafuta baba ni nani cha msingi tafuta suluhisho lingine.

Huruma ni kwa binti maana bado ni mdogo na darasani alikuwa yuko vizuri kweli shida iliopo mpaka sasa ni kuwa binti wanataka kumtoa mimba ya miezi 4 na kesho ndo wanaenda kujua ina mda gani na familia haitaki mtoto hata wala kwenda mahakamani.

Nimeombwa ushauri ila nimeshindwa huruma yangu ni binti asije akakata moto tu maana wanataka kumtoa kienyeji na madawa.

Mwandiko rekebisha mwenyewe.

Done.
My take. Usiingie kwenye dhambi ambayo huna hatia. Kwa njia yoyote ile ASIITOE, na kwa mimba hiyo kitakachozaliwa ni damu yawaTZ. Tunaihitaji.



ZERO STOP.
 
Mwacheni azae tu na alee mwanae ili akili imkae sawa...pia familia isishiriko kumwaga damu isiyo na hatia...
 
Mkuu Mwambie azae tu , kutoa Mimba Ni hatari Sana.
Hata akitumia njia sahihi then Anaweza risk Maisha yake.
 
Habari wandugu.

Niko hapa sijajua kama ni ku shauriaana au kuwa pasha habari?
iko hivi tokea juzi kuna jamaa alikuja kunitembelea mkoa x baada ya kukaa nae tokea jana akawa kama hayuko kwenye hali ya kawaida ikabidi nimuulize ila aligoma ikabidi jioni tutokea kwenda out kidogo baada ya ya bia mbili 3 akaniambia kuwa ana mdogo wake ambaee ndo ana muaangaikia kuhusu swala la ada na matumiazi madogo maana yuko huko kijiji x.

sasa tatizo lililopo ni nikuwa binti huyo wa 4m one anamimba ya miezi mi 4 inana maanisha tumbo ni kubwa la miezi mii nne.

Sasa jamaa akawa ana jaribu kuniomba ushauri mwanzoni nili mshauri atoe maana sikujua kama mimba ni ya 4 month na leo tena kaniuliza dawa gani za kutoa mimba ila nili mjibu kuwa sijuiii so ni vizuri zaidi kama akiulizia.

Alikuja aka mpigia simu bibi mmoja akasema kwamba ana weza kuitoa ila njia anayo tumia sasa nilivyo sikia nikasema hapana huuu ni ukatili nika mdanganya nika mwambia kuwa zipo njia salama na nika mtajia vidonge ambavyo havipo duniani (kutunga jina) ila asiwe na ile akili ya kutoa mimba kienyeji.

Tukirudi nyuma kidogo kuhusu binti alishindwa kutaja nani kampa mimba maana alikuwa anasema ni mwaka jana dec ila ukihesabu unaona kabisa ni uongo maana angekuwa amejifungua, nikamuomba jamaa akae nae aonge nae vizuri ili ajue kiundani binti aka funguka kuwa alitoka na watu zaidi ya wa 5 na katika hao wa 3 wali mbakaaa na wali mla kwa zamu mpaka asubuhiii na mwingine ni ndugu yake kabisa ambaee yupo karibu na mwingine ali mbaka kipindi maji yalikuwa ya shida alienda kuchota kisimani.

Jamaa alivyo nifuata na kuniomba ushauri nika mwambia kama watu ni wengi ni ngumu sana kuelezea na kutafuta baba ni nani cha msingi tafuta suluhisho lingine.

Huruma ni kwa binti maana bado ni mdogo na darasani alikuwa yuko vizuri kweli shida iliopo mpaka sasa ni kuwa binti wanataka kumtoa mimba ya miezi 4 na kesho ndo wanaenda kujua ina mda gani na familia haitaki mtoto hata wala kwenda mahakamani.

Nimeombwa ushauri ila nimeshindwa huruma yangu ni binti asije akakata moto tu maana wanataka kumtoa kienyeji na madawa.

Mwandiko rekebisha mwenyewe.

Done.
Hawa watoto wa kike hawajitambui
Wanapenda ngono sana so Mwambie atoe Afe tu.
 
Mmmmh Mimba itolewee. Kwa maslahi ya Elimu ya binti.
 
Habari wandugu.

Niko hapa sijajua kama ni ku shauriaana au kuwa pasha habari?
iko hivi tokea juzi kuna jamaa alikuja kunitembelea mkoa x baada ya kukaa nae tokea jana akawa kama hayuko kwenye hali ya kawaida ikabidi nimuulize ila aligoma ikabidi jioni tutokea kwenda out kidogo baada ya ya bia mbili 3 akaniambia kuwa ana mdogo wake ambaee ndo ana muaangaikia kuhusu swala la ada na matumiazi madogo maana yuko huko kijiji x.

sasa tatizo lililopo ni nikuwa binti huyo wa 4m one anamimba ya miezi mi 4 inana maanisha tumbo ni kubwa la miezi mii nne.

Sasa jamaa akawa ana jaribu kuniomba ushauri mwanzoni nili mshauri atoe maana sikujua kama mimba ni ya 4 month na leo tena kaniuliza dawa gani za kutoa mimba ila nili mjibu kuwa sijuiii so ni vizuri zaidi kama akiulizia.

Alikuja aka mpigia simu bibi mmoja akasema kwamba ana weza kuitoa ila njia anayo tumia sasa nilivyo sikia nikasema hapana huuu ni ukatili nika mdanganya nika mwambia kuwa zipo njia salama na nika mtajia vidonge ambavyo havipo duniani (kutunga jina) ila asiwe na ile akili ya kutoa mimba kienyeji.

Tukirudi nyuma kidogo kuhusu binti alishindwa kutaja nani kampa mimba maana alikuwa anasema ni mwaka jana dec ila ukihesabu unaona kabisa ni uongo maana angekuwa amejifungua, nikamuomba jamaa akae nae aonge nae vizuri ili ajue kiundani binti aka funguka kuwa alitoka na watu zaidi ya wa 5 na katika hao wa 3 wali mbakaaa na wali mla kwa zamu mpaka asubuhiii na mwingine ni ndugu yake kabisa ambaee yupo karibu na mwingine ali mbaka kipindi maji yalikuwa ya shida alienda kuchota kisimani.

Jamaa alivyo nifuata na kuniomba ushauri nika mwambia kama watu ni wengi ni ngumu sana kuelezea na kutafuta baba ni nani cha msingi tafuta suluhisho lingine.

Huruma ni kwa binti maana bado ni mdogo na darasani alikuwa yuko vizuri kweli shida iliopo mpaka sasa ni kuwa binti wanataka kumtoa mimba ya miezi 4 na kesho ndo wanaenda kujua ina mda gani na familia haitaki mtoto hata wala kwenda mahakamani.

Nimeombwa ushauri ila nimeshindwa huruma yangu ni binti asije akakata moto tu maana wanataka kumtoa kienyeji na madawa.

Mwandiko rekebisha mwenyewe.

Done.
Wasiitoe bali watoroke na huyo binti waksishi nae mpaka ajifungue then kama ni shule atampelekaga baada ya uzazi suala akimbie nae asije akasomewa mashtak.
 
Habari wandugu.

Niko hapa sijajua kama ni ku shauriaana au kuwa pasha habari?
iko hivi tokea juzi kuna jamaa alikuja kunitembelea mkoa x baada ya kukaa nae tokea jana akawa kama hayuko kwenye hali ya kawaida ikabidi nimuulize ila aligoma ikabidi jioni tutokea kwenda out kidogo baada ya ya bia mbili 3 akaniambia kuwa ana mdogo wake ambaee ndo ana muaangaikia kuhusu swala la ada na matumiazi madogo maana yuko huko kijiji x.

sasa tatizo lililopo ni nikuwa binti huyo wa 4m one anamimba ya miezi mi 4 inana maanisha tumbo ni kubwa la miezi mii nne.

Sasa jamaa akawa ana jaribu kuniomba ushauri mwanzoni nili mshauri atoe maana sikujua kama mimba ni ya 4 month na leo tena kaniuliza dawa gani za kutoa mimba ila nili mjibu kuwa sijuiii so ni vizuri zaidi kama akiulizia.

Alikuja aka mpigia simu bibi mmoja akasema kwamba ana weza kuitoa ila njia anayo tumia sasa nilivyo sikia nikasema hapana huuu ni ukatili nika mdanganya nika mwambia kuwa zipo njia salama na nika mtajia vidonge ambavyo havipo duniani (kutunga jina) ila asiwe na ile akili ya kutoa mimba kienyeji.

Tukirudi nyuma kidogo kuhusu binti alishindwa kutaja nani kampa mimba maana alikuwa anasema ni mwaka jana dec ila ukihesabu unaona kabisa ni uongo maana angekuwa amejifungua, nikamuomba jamaa akae nae aonge nae vizuri ili ajue kiundani binti aka funguka kuwa alitoka na watu zaidi ya wa 5 na katika hao wa 3 wali mbakaaa na wali mla kwa zamu mpaka asubuhiii na mwingine ni ndugu yake kabisa ambaee yupo karibu na mwingine ali mbaka kipindi maji yalikuwa ya shida alienda kuchota kisimani.

Jamaa alivyo nifuata na kuniomba ushauri nika mwambia kama watu ni wengi ni ngumu sana kuelezea na kutafuta baba ni nani cha msingi tafuta suluhisho lingine.

Huruma ni kwa binti maana bado ni mdogo na darasani alikuwa yuko vizuri kweli shida iliopo mpaka sasa ni kuwa binti wanataka kumtoa mimba ya miezi 4 na kesho ndo wanaenda kujua ina mda gani na familia haitaki mtoto hata wala kwenda mahakamani.

Nimeombwa ushauri ila nimeshindwa huruma yangu ni binti asije akakata moto tu maana wanataka kumtoa kienyeji na madawa.

Mwandiko rekebisha mwenyewe.

Done.
Hakuna sababu ya kutoa Mimba, hata mkitoa atabeba tena, Cha maana owe wazi KWA walimu atoke shuleni ,arudi nyumbani alee mimba mpaka ajifungue, alee mtoto, badae mtafutieni shule hata ya private aendelee na masomo Kama atakua anataka

Nikuhakikishieni izo suruba za kulea mimba, kujifungua, na kulea mtoto akiamua kurudi shule atapiga kitabu Cha kufa mtu, hawezi danganywa danganywa tena hovyo mpaka atatimiza malengo yake,

Huu ni ushauri nilisha wapa familia MOJA hivi, binti yao alikua Kama anapepo la ngono, KILA wakitoa mimba ndani ya mda mimba nyingine mpaka Ikafika 3, baba mzazi akataka mfukuza nyumbani, siku nikawashauri nini Cha kufanya ,Kama ninavyokueleza hapa,

Leo unajua huyu binti ni nani ? WENDA ni Kati ya wanao ratibu mipango ya kutupiga Tozo,

Tumia ushauri huu mtakuja nishukuru hata nikiwa kaburini
 
Hawa watoto wa kike hawajitambui
Wanapenda ngono sana so Mwambie atoe Afe tu.
We hujazaa ndio maana unaropoka, basi usome hata kesi za namna hii ujue chanzo... Usiombee mwanao yakimpata haya.. Utakua hujui. Mazingira ya kijijini ni risk Sana kwa mbinti, Kuna kubakwa ila pia kutoka a na maisha duni.. Wengine hujikuta ktk ushawishi ili apate ada, na mahitaji mengine, mwisho hupata mimba. Tambua sio kila anapata mimba alijirahisi... Wengi wanahistoria ngumu Sana na yakusikitisha
 
Back
Top Bottom