kasulukasulu
New Member
- Oct 5, 2013
- 3
- 3
Salam wakuu,
Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua napata changamoto ya kimo chake ikiwemo kuharibu mabampa.
Zaidi ya mafundi wawili wamenishauri kupandisha/ kuongeza urefu wake. Naomba mawazo yenu kama kuna changamoto zozote za kufanya zoezi hili na mambo ya kuzingatia ili niongeze bila kuathiri vitu kama balance ya gari.
Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua napata changamoto ya kimo chake ikiwemo kuharibu mabampa.
Zaidi ya mafundi wawili wamenishauri kupandisha/ kuongeza urefu wake. Naomba mawazo yenu kama kuna changamoto zozote za kufanya zoezi hili na mambo ya kuzingatia ili niongeze bila kuathiri vitu kama balance ya gari.