Mim ni graduate na Sina uzoefu wa hiyo biashara, lakini ndo biashara niliyo amua niifanye, naomba ushauri kwa wenye uzoefu nayo na kwa kua mtaji wangu ni mdogo.
Naomba ushauri nianze na vitu gani na pia kwa wanao ijua moro vizuri wanaweza nishauri na sehemu pia..na pia sehemu gani ntafunga mzigo kwa pei nzuri.
Natanguliza shukrani kwenu..
Naomba ushauri nianze na vitu gani na pia kwa wanao ijua moro vizuri wanaweza nishauri na sehemu pia..na pia sehemu gani ntafunga mzigo kwa pei nzuri.
Natanguliza shukrani kwenu..