C chodoo Member Joined Mar 6, 2012 Posts 86 Reaction score 33 May 5, 2016 #1 Nataka kuanzisha biashara ya kununua kahawa kwa wakulima na kuiuza kwenye bodi ya kahawa. Mwenye uzoefu na biashara hii kuna changamoto zipi ambazo naweza kukumbana nazo? Na je, bado ni biashara inayolipa?
Nataka kuanzisha biashara ya kununua kahawa kwa wakulima na kuiuza kwenye bodi ya kahawa. Mwenye uzoefu na biashara hii kuna changamoto zipi ambazo naweza kukumbana nazo? Na je, bado ni biashara inayolipa?
X XaviMessIniesta JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 2,231 Reaction score 2,778 Jun 29, 2019 #2 hili ndio swali pekee halina majibu humu jf kwa mara ya kwanza naona[emoji26]
X XaviMessIniesta JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 2,231 Reaction score 2,778 Jun 29, 2019 #3 mkuu ulifanikiwa?
L legacy15 Member Joined Mar 16, 2018 Posts 19 Reaction score 26 Jun 29, 2019 #4 Hivi ndo biashara hii inavyo fanyika kwa sasa
aliyetegwa JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 313 Reaction score 486 Jul 3, 2019 #5 Ukitaka kuijua biashara usiulize kwani ukweli siri nyingi za faida kwenye biashara hubakia kuwa siri huwezi kzipata mpaka uwe mwanachama hapa utapewa tu ABCD
Ukitaka kuijua biashara usiulize kwani ukweli siri nyingi za faida kwenye biashara hubakia kuwa siri huwezi kzipata mpaka uwe mwanachama hapa utapewa tu ABCD