Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda cha unga wa sembe Dar

Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda cha unga wa sembe Dar

Emanueld

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
73
Reaction score
41
Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar.

Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya.

1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje

2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa katika gunia la kilo 100 unapat unga kias gan na pumba kiasi gani?

3. Mchanganuo wa gharam za uendeshaj na faida. (mf labda nikisag tan 10 za mahind , gharam zinakuw kias gan na faida inakuaje)

4. Changamoto zilizopo katika hii biashara.

Natanguliza shukrani.
 
hizo mashine bora agiza ila ukinunua hapa utapigwa ndoige.
pili ingia mikoani kwa kilimo cha maindi. utanishukuru
 
Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar.

Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya.

1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje

2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa katika gunia la kilo 100 unapat unga kias gan na pumba kiasi gani?

3. Mchanganuo wa gharam za uendeshaj na faida. (mf labda nikisag tan 10 za mahind , gharam zinakuw kias gan na faida inakuaje)

4. Changamoto zilizopo katika hii biashara.

Natanguliza shukrani.



Let's me advice.

Good decisions you chosen.
Iyo biashara ni nzuri saaaaana.
Ushauri wangu
1; fanya research ya mikoa inayo zalisha mahidi ya kutosha ilikusudi uwe na uhakika wa mali ghafi.

2;mkoa utakao upata unao zalisha mahindi, wekeza iyo mashine yako ilikusudi uwe una supply end product kwenye masoko yako uliyo ya pata.

3;kuwekeza nje ya dar utakuwa ume epuka baadhi ya cost kama vile cheap labor,sheria za mazingira apo dar na nyinginezo.

4;Pia ukiwekeza mikoani inaweza kukupa fursa ya kuzalisha mahindi mwenyewe ambapo utakuwa unapata faida maradufu.

Kazi kwako .
 
Let's me advice.

Good decisions you chosen.
Iyo biashara ni nzuri saaaaana.
Ushauri wangu
1; fanya research ya mikoa inayo zalisha mahidi ya kutosha ilikusudi uwe na uhakika wa mali ghafi.

2;mkoa utakao upata unao zalisha mahindi, wekeza iyo mashine yako ilikusudi uwe una supply end product kwenye masoko yako uliyo ya pata.

3;kuwekeza nje ya dar utakuwa ume epuka baadhi ya cost kama vile cheap labor,sheria za mazingira apo dar na nyinginezo.

4;Pia ukiwekeza mikoani inaweza kukupa fursa ya kuzalisha mahindi mwenyewe ambapo utakuwa unapata faida maradufu.

Kazi kwako .
Shukran
 
Hongera sana kwa wazo zuri sana, hutajuta ikiwa utazingatia mambo 6 yafuatayo:-

1. Nunua kifaa kimoja kimoja (kwa rejareja). Kwa vifaa vya umeme (Main switch, socketbraker, starter, wires, mortors, pulleys) nenda pale Kariakoo Mtaa wa Gerezani- Dsm bei ni nafuu sana.

Kwakuwa mortor ni bei ghali, chukua tu used kwa kuanzia... chukua za 30HP bland ya Germany au Italy.

2. Kwa swala la vinu, chonga kinu cha kusagia No. 75 na cha kukobolea Roller 3 kwa mabati yenye unene wa 6mm kwenye workshops za mtaani. ONYO: USINUNUE VYA DUKANI- Mabati ni laini sana, utajuta.

3. Zifunge hizo machine kwenye eneo specifically wanapolima mahindi au kwenye mji wenye msongaman wa watu

4. Usianza biashara kwa kubland, kufanya packaging. Anza kienyeji kwanza kwa wateja wa wakawaida tu. Utajifunza mengi na kukuza biashara yako

5. Kwa kuanzaia, Tafuta frame ambayo tayari ina umeme wa 3 phase ili uokoe gharama maana kuvuta umeme wa 3 phase itakugharimu siyo chini ya 1.3Milion.

6. Anza na mahindi yako mwenyewe kwa kuwa kuna wateja wanakuja wakiwa wanataka unga tu, kama huna mahindi wanaenda sehemu nyingine


MWISHO.

Andaa bajeti ya sh zisizopungua 7.5million kwa ajili ya:-
1. Kununua vifaa vyote vya umeme
2. Vinu 2
3. Chasis/reli za kumimina mashine zako chini, cement, kokoto, mchanga
4. Ufundi (umeme, ujenzi/setting)
 
Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar.

Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya.

1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje

2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa katika gunia la kilo 100 unapat unga kias gan na pumba kiasi gani?

3. Mchanganuo wa gharam za uendeshaj na faida. (mf labda nikisag tan 10 za mahind , gharam zinakuw kias gan na faida inakuaje)

4. Changamoto zilizopo katika hii biashara.

Natanguliza shukrani.
Mtaji wake kiasi gani
 
Hongera sana kwa wazo zuri sana, hutajuta ikiwa utazingatia mambo 6 yafuatayo:-

1. Nunua kifaa kimoja kimoja (kwa rejareja). Kwa vifaa vya umeme (Main switch, socketbraker, starter, wires, mortors, pulleys) nenda pale Kariakoo Mtaa wa Gerezani- Dsm bei ni nafuu sana.

Kwakuwa mortor ni bei ghali, chukua tu used kwa kuanzia... chukua za 30HP bland ya Germany au Italy.

2. Kwa swala la vinu, chonga kinu cha kusagia No. 75 na cha kukobolea Roller 3 kwa mabati yenye unene wa 6mm kwenye workshops za mtaani. ONYO: USINUNUE VYA DUKANI- Mabati ni laini sana, utajuta.

3. Zifunge hizo machine kwenye eneo specifically wanapolima mahindi au kwenye mji wenye msongaman wa watu

4. Usianza biashara kwa kubland, kufanya packaging. Anza kienyeji kwanza kwa wateja wa wakawaida tu. Utajifunza mengi na kukuza biashara yako

5. Kwa kuanzaia, Tafuta frame ambayo tayari ina umeme wa 3 phase ili uokoe gharama maana kuvuta umeme wa 3 phase itakugharimu siyo chini ya 1.3Milion.

6. Anza na mahindi yako mwenyewe kwa kuwa kuna wateja wanakuja wakiwa wanataka unga tu, kama huna mahindi wanaenda sehemu nyingine


MWISHO.

Andaa bajeti ya sh zisizopungua 7.5million kwa ajili ya:-
1. Kununua vifaa vyote vya umeme
2. Vinu 2
3. Chasis/reli za kumimina mashine zako chini, cement, kokoto, mchanga
4. Ufundi (umeme, ujenzi/setting)
Kwenye kuchagua ukubwa wa kinu cha kusagia na idadi ya roller kwenye kukoboa unaangalia nn , uzalishaj unaotaka au ?

Na je kinu namba 75 na roller 3 unaeza zalisha tan ngap kwa siku ?? Na ufanis wake vp wake , ratio ya unga na pumba ?? Au hii ratio ya pumba na mahind inategemea ubora wa mahind ??
 
Kwenye kuchagua ukubwa wa kinu cha kusagia na idadi ya roller kwenye kukoboa unaangalia nn , uzalishaj unaotaka au ?

Na je kinu namba 75 na roller 3 unaeza zalisha tan ngap kwa siku ?? Na ufanis wake vp wake , ratio ya unga na pumba ?? Au hii ratio ya pumba na mahind inategemea ubora wa mahind ??
No 75 & roller 3 ni size zinazoweza kukidhi demand ya wateja wadogo na kwa kiwanda kabisa cha unga (uzalishaji mdogo na mkubwa).

Gunia 1 linatoa unga kilo 78 - 80 na debe 3 za pumba (kwa case ya sembe) kutegemeana na uzuri wa mahindi
 
Habari Mimi ni kijana mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda cha kuzalisha Unga (sembe +dona) Dar.

Nilikuwa naomba wazoefu kwenye hii biashara wanipe muongozo kwenye haya.

1. Mashine zipi ni bora ( kusaga, kukoboa na sealing) na ufanis wake ukoje

2. Mahindi ya mkoa gani ni mazuri? Na huwa katika gunia la kilo 100 unapat unga kias gan na pumba kiasi gani?

3. Mchanganuo wa gharam za uendeshaj na faida. (mf labda nikisag tan 10 za mahind , gharam zinakuw kias gan na faida inakuaje)

4. Changamoto zilizopo katika hii biashara.

Natanguliza shukrani.
Nenda kibaha pale, kuna kiwanda cha sembe jioni vizia wafanyakazi wakitoka msimamishe mmoja mweleze haja yako na uwe mtaratibu either atakupa info/ atakuunganisha na mwenye kujua zaidi.
 
Nenda kibaha pale, kuna kiwanda cha sembe jioni vizia wafanyakazi wakitoka msimamishe mmoja mweleze haja yako na uwe mtaratibu either atakupa info/ atakuunganisha na mwenye kujua zaidi.
Shukran mkuu
 
Back
Top Bottom