Ushauri: Nataka kufanya biashara Zambia

Ushauri: Nataka kufanya biashara Zambia

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Kama kichwa kinavyosema wadau,nimedhamiria kufanya biashara ya kutoa mazao ya samaki wa baharini na kupeleka huko,na week ijayo inanibidi niende kufanya utafiti wa soko huko ila shida yangu ni kwamba sijawahi kufika hiyo nchi,na hata nikifika sijui naanzaje.
Vipi lugha ya mawasiliano hawa Wazambia kiingereza wanakimudu?vipi hali ya utapeli iko kama ya wabongo?

Na kitu gani kingine natakiwa kuwa nacho makini?na zaidi ya yote mtu ambaye ana connection huko tayari angenifanyia mpango na mimi ningefurahi sana.
 
Mi nadhan banda basi hadi Tunduma ukifika pale utapata connection mzuri
 
Kama kichwa kinavyosema wadau,nimedhamiria kufanya biashara ya kutoa mazao ya samaki wa baharini na kupeleka huko,na week ijayo inanibidi niende kufanya utafiti wa soko huko ila shida yangu ni kwamba sijawahi kufika hiyo nchi,na hata nikifika sijui naanzaje.
Vipi lugha ya mawasiliano hawa Wazambia kiingereza wanakimudu?vipi hali ya utapeli iko kama ya wabongo?

Na kitu gani kingine natakiwa kuwa nacho makini?na zaidi ya yote mtu ambaye ana connection huko tayari angenifanyia mpango na mimi ningefurahi sana.
Lugha ya Taifa ya Zambia ni Kiingereza, zinazofuata ni Kilungu ( kifipa), Kibemba, Kimambwe hata Kiswahili kutegemea eneo.
Wazambia ni wapole sana,na wapiga kilaji!
Kama hujaoa,si ajabu utaoa huko,kwani wanawake wa Zambia wanapenda sana Watz.
Kwenye kodi za biashara,ni wataratibu ila strict,hawapendi rushwa rushwa. Mengine nitaongeza baadae.
 
Lugha ya Taifa ya Zambia ni Kiingereza, zinazofuata ni Kilungu ( kifipa), Kibemba, Kimambwe hata Kiswahili kutegemea eneo.
Wazambia ni wapole sana,na wapiga kilaji!
Kama hujaoa,si ajabu utaoa huko,kwani wanawake wa Zambia wanapenda sana Watz.
Kwenye kodi za biashara,ni wataratibu ila strict,hawapendi rushwa rushwa. Mengine nitaongeza baadae.
Asante mkuu kwa taarifa
 
Back
Top Bottom