Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Nimekasilishwa sana na ujumbe ambao anaendelea kuusambaza huyu ndugu yangu unaohusu masuala ya siasa.Binafsi sijapenda tabia anayoifanya. Ametumia sms ya kumkashifu Rais wetu ajae, eti anasema.
"Hakuna cha MAGUFULI wala MAKOMEO,
CCM ni walewale sema tu wamebadili chupa lakini pombe ni ilele.Kura zangu zote kuanzia udiwani, ubunge na urais ni UKAWAAAAAAA tu, hakuna la ziada, CCM mpaka hapo wametufikisha pabaya sana.
sasa tusemeee! yatoshaaaaa kwa sauti tukianzia na wewe.
Forwad sms hii kwa makamanda 90 ili tupate ushidi wa kishindoooo!"
Hapo ndio wisho wa sms inayosambaza chuki kubwa kwa wanainchi.
Watanzania naombeni ushauri, huyu ndugu yangu ninataka kumshitaki ili nchi yetu iendelee kuwa na amani.
Hatuwezi kukubali watu wajinga kama ndugu yangu waichome amani yetu.
"Hakuna cha MAGUFULI wala MAKOMEO,
CCM ni walewale sema tu wamebadili chupa lakini pombe ni ilele.Kura zangu zote kuanzia udiwani, ubunge na urais ni UKAWAAAAAAA tu, hakuna la ziada, CCM mpaka hapo wametufikisha pabaya sana.
sasa tusemeee! yatoshaaaaa kwa sauti tukianzia na wewe.
Forwad sms hii kwa makamanda 90 ili tupate ushidi wa kishindoooo!"
Hapo ndio wisho wa sms inayosambaza chuki kubwa kwa wanainchi.
Watanzania naombeni ushauri, huyu ndugu yangu ninataka kumshitaki ili nchi yetu iendelee kuwa na amani.
Hatuwezi kukubali watu wajinga kama ndugu yangu waichome amani yetu.