praygodtowo
Senior Member
- Dec 27, 2016
- 113
- 53
Asante mkuuNunua bajaj naona itakufaa zaid
Bado hadi hapo sinunui wakipanda watu wanene wanne haliwezi kupanda mlima duuuu nunua bajaji ufanyie biasharaMkuu, kwanza hiyo sio New Model. Hiyo ni 2nd Generation Vitz.
1st Generation ilikua 1999 hadi 2005.
2nd Generation ilikua 2005 hadi 2010...
Ina namba za ubalozi zile za bluu.
Watu tuna Corolla ya 1995 ina 1498CC na haili mafuta tunapeta sasa hii akiuliza tena ya 2007 inabidi umshauri achukue zile za Zenji tukutuku...by the way anahitaji kujifunza maana ndo usafiri wake wa kwanza hivyo asijali sana kuhusu mafuta hiyo ipo poa maana gari la kwanza hutakiwi kununua gari complicatedCc 1270 unauliza ulaji wa mafuta basi nunua t-better motorcycle itakufaa
Thanks mkuu, kwa maana nyengine hii kwa kujifunzia kumiliki gari inanifaa au sio?Watu tuna Corolla ya 1995 ina 1498CC na haili mafuta tunapeta sasa hii akiuliza tena ya 2007 inabidi umshauri achukue zile za Zenji tukutuku...by the way anahitaji kujifunza maana ndo usafiri wake wa kwanza hivyo asijali sana kuhusu mafuta hiyo ipo poa maana gari la kwanza hutakiwi kununua gari complicated
Asante mkuuooh kwa maana hiyo ni kwamba hiyo gari ilisajiliwa kwa msamaha wa kodi, kwa sababu huyo mmiliki ni afisa balozi wa ubalozi fulani. Kumbuka kwa mujibu wa sheria anayepata msamaha wa kodi ni mtu/milimiki sio gari. Kwa hiyo mmiliki akibadilika(kwa mfano wewe unaponunua gari hili) inatakiwa ulipe kodi (kwa sababu wewe hukidhi vigezo vya msamaha wa kodi kama ilivyo kwa afisa ubalozi husika) kutokana na current value ya hilo gari kwa sasa(sio kwa value iliponunuliwa wakati inaingia nchini).
Afisa wa TRA ataweza kukokotoa kodi kulingana na thamani ya gari kwa sasa(depreciated value)
Nakushauri uwaone watu wa TRA kabla hujafanya maamuzi ya kununua gari.
Kaka. gari yenye 60000km ya mjapan na wa huku ni tofauti kabisa kama mpya. Kama umeridhika nayo ichukue.Mileage 26 km, mkuu, afu hiyo ya USD 2500 including cif hadi dar, nyingi zina mileage kuanzia 60,000 huko. Alafu kuna ushuru hadi Jana, ilikua 4,800,000. Plus muda. Kumbuka hiyo gari ni ya afisa ubalozi, anakaa akiba kazini posta. Ni kweli alinunua second hand ikiwa ina mileage, 10,000, kumbuka hawa hawana ndg mikoani kusema kila desembar kiguu na njia
Ni hayo tu.
Asante mkuu
Mileage 26 km, mkuu, afu hiyo ya USD 2500 including cif hadi dar, nyingi zina mileage kuanzia 60,000 huko. Alafu kuna ushuru hadi Jana, ilikua 4,800,000. Plus muda. Kumbuka hiyo gari ni ya afisa ubalozi, anakaa akiba kazini posta. Ni kweli alinunua second hand ikiwa ina mileage, 10,000, kumbuka hawa hawana ndg mikoani kusema kila desembar kiguu na njia
Ni hayo tu.
achana nalo hilo labda kama wewe ni diplomatView attachment 589513 habari za weekend
Wataalam wa magari, na wazoefu wa matumizi ya magari, naomba ushauri, nimeona gari ya ubalozi inauzwa aina ya vitz new model, CC 1290. ya 2007. Imeingia nchini 2014. Mimi itakua ndo gari yangu ya kwanza. Je ipo vizuri? Au huwa inasumbua sumbua, na vp ulaji wa mafuta, vp service yake, vp uimara, na vp kuhusu ushuru, na usajili, inaweza kuwa km sh ngapi? Maana kadi naona imeandikwa diplomatic. Bei anataka usd 2800.