We chai zako zote mikumi tu
Unatokea DAR kwenda Kyela au wapi?
Una pepo la Mikumi.
Huwezi kutoka Dar na Bajaji mpaka Mbeya.....hicho kibajaji kitalipuka moto.
Wasiwasi wako tu simba wa mikumi hawana tabu kabisa tena nakushauri ukifika hapo mbugani ikokote tu hiyo bajaj yako watakuangalia tu hawatakufanya chochote
kusafiri umbali mrefu siyo tatizo kuna mshkaji alitoka sumbawanga hadi dodoma na familia yake, na kurudi wiki iliyofuata, ila kwa suala la mikumi nadhan ukipita mchana hakuna noma. ubaponyeghe abha ngonde