Ushauri nataka kusoma certificate in business management au accounting

Ushauri nataka kusoma certificate in business management au accounting

Sodium 23

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
483
Reaction score
491
Asalam Aleykum wanajukwaa!
Mimi ni mhitimu wa shahada ya elimu katika masomo ya Sayansi (Bachelor of education in Science).
Nimetafakari kuhusu kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya masters degree nikaona hakuna ulazima wa kufanya hivyo kwa sasa.
Nmeamua kujiendeleza katika maeneo tofauti ya kitaaluma ili kuniongezea maarifa.

Awali nilikua na mpango wa kufanya Masters of educational Management au Masters of business Adminstration, lakini nmeona bora nifanye angalau certificate ya accounting au business studies ili niweze kuongeza business skills hasa financial accounting (sina background ya masomo ya biashara).

Naomba ushauri kwa wazoefu wa masomo ya biashara, je ngazi ya certificate inaweza kunipatia maarifa ya kutosha kusimamia biashara na kuandaa mahesabu ya fedha kwa "small or medium enterprises (SMEs)"?
Lengo ni kuwa na uwezo wa kuandaa financial statement ya duka kubwa au taasisi kama shule.
Ningependa kufanya diploma ila muda wa miaka miwili nitakwamisha shughuli zangu bora mwaka mmoja wa certificate.
Nawasilisha hoja na ninakaribisha hoja za kuunga mkono na za kupinga wazo hili.
Aksanteni Sana.
 
Wazo lako sio baya unaweza ukasoma jioni ile wanaita evening class pia certificate haitoshi kukupa maarifa ya kutosha piga hadi diploma kidogo utakuwa umepata maarifa kwa upana zaidi ila sijamaanisha cheti hutapata maarifa yapo ila ni kwa kiasi kidogo sana,
 
Wazo lako sio baya unaweza ukasoma jioni ile wanaita evening class pia certificate haitoshi kukupa maarifa ya kutosha piga hadi diploma kidogo utakuwa umepata maarifa kwa upana zaidi ila sijamaanisha cheti hutapata maarifa yapo ila ni kwa kiasi kidogo sana,
Nashukuru sana mkuu! Nitafikiria uamuzi huo wa kupiga diploma direct.
 
Asalam Aleykum wanajukwaa!
Mimi ni mhitimu wa shahada ya elimu katika masomo ya Sayansi (Bachelor of education in Science).
Nimetafakari kuhusu kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya masters degree nikaona hakuna ulazima wa kufanya hivyo kwa sasa.
Nmeamua kujiendeleza katika maeneo tofauti ya kitaaluma ili kuniongezea maarifa.

Awali nilikua na mpango wa kufanya Masters of educational Management au Masters of business Adminstration, lakini nmeona bora nifanye angalau certificate ya accounting au business studies ili niweze kuongeza business skills hasa financial accounting (sina background ya masomo ya biashara).

Naomba ushauri kwa wazoefu wa masomo ya biashara, je ngazi ya certificate inaweza kunipatia maarifa ya kutosha kusimamia biashara na kuandaa mahesabu ya fedha kwa "small or medium enterprises (SMEs)"?
Lengo ni kuwa na uwezo wa kuandaa financial statement ya duka kubwa au taasisi kama shule.
Ningependa kufanya diploma ila muda wa miaka miwili nitakwamisha shughuli zangu bora mwaka mmoja wa certificate.
Nawasilisha hoja na ninakaribisha hoja za kuunga mkono na za kupinga wazo hili.
Aksanteni Sana.
Wazo zuri Ila kumbuka kuto kusoma masomo ya biashara au kuto kuwa na Background ya kuyagusia hakukuzuii kusoma muhimu akili yako kuiandaa vizuri kwa kile unacho enda kukikabiri.

Mimi ni mwanafunzi Wa TIA nasoma Course ya Accountancy nilianza certificate Sasa nipo diploma ninauzoefu wa mwaka mmoja na kozi hii na pia ni muhim usome mpaka diploma Kama unataka kutengeneza kitu Bora kichwani kwasababu ukisoma cheti tu bado utakuwa umelamba asali ila hujameza so nikutoe wasiwasi kozi ni rahisi na Ajira zipo kwasababu Mhasibu ni mtu anae hitajika kwa taasisi nyingi hapa Nchini na nje muhimu ni elimu yako.

NOTE: Elimu yako ndy daraja kwa kila hatua kupanda CPA ni muhim kwa Mhasibu yeyote
 
Wazo zuri Ila kumbuka kuto kusoma masomo ya biashara au kuto kuwa na Background ya kuyagusia hakukuzuii kusoma muhimu akili yako kuiandaa vizuri kwa kile unacho enda kukikabiri.

Mimi ni mwanafunzi Wa TIA nasoma Course ya Accountancy nilianza certificate Sasa nipo diploma ninauzoefu wa mwaka mmoja na kozi hii na pia ni muhim usome mpaka diploma Kama unataka kutengeneza kitu Bora kichwani kwasababu ukisoma cheti tu bado utakuwa umelamba asali ila hujameza so nikutoe wasiwasi kozi ni rahisi na Ajira zipo kwasababu Mhasibu ni mtu anae hitajika kwa taasisi nyingi hapa Nchini na nje muhimu ni elimu yako.

NOTE: Elimu yako ndy daraja kwa kila hatua kupanda CPA ni muhim kwa Mhasibu yeyote
Asante mkuu kwa ushauri wako!
Nimeupokea na nitaufanyia kazi.
 
Asalam Aleykum wanajukwaa!
Mimi ni mhitimu wa shahada ya elimu katika masomo ya Sayansi (Bachelor of education in Science).
Nimetafakari kuhusu kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya masters degree nikaona hakuna ulazima wa kufanya hivyo kwa sasa.
Nmeamua kujiendeleza katika maeneo tofauti ya kitaaluma ili kuniongezea maarifa.

Awali nilikua na mpango wa kufanya Masters of educational Management au Masters of business Adminstration, lakini nmeona bora nifanye angalau certificate ya accounting au business studies ili niweze kuongeza business skills hasa financial accounting (sina background ya masomo ya biashara).

Naomba ushauri kwa wazoefu wa masomo ya biashara, je ngazi ya certificate inaweza kunipatia maarifa ya kutosha kusimamia biashara na kuandaa mahesabu ya fedha kwa "small or medium enterprises (SMEs)"?
Lengo ni kuwa na uwezo wa kuandaa financial statement ya duka kubwa au taasisi kama shule.
Ningependa kufanya diploma ila muda wa miaka miwili nitakwamisha shughuli zangu bora mwaka mmoja wa certificate.
Nawasilisha hoja na ninakaribisha hoja za kuunga mkono na za kupinga wazo hili.
Aksanteni Sana.
Kuliko kusoma certificate ni bora ukasome pograduate degree ya MBA pale jalalani. Au kama gpa inaruhusu kasome masters ya MBA kabisa then kwenye hiyo master una specialize kwenye uhasibu.

Narudia tena kusoma certificate wakati una degree ni kupoteza muda.
 
Mkuu kama huko ofisini na iyo masters ni ulazima ni vyema usome. Ila kama kuongeza ujuzi, jifunze skill ndogo ndogo zitakazo kupa certificate
 
Kuliko kusoma certificate ni bora ukasome pograduate degree ya MBA pale jalalani. Au kama gpa inaruhusu kasome masters ya MBA kabisa then kwenye hiyo master una specialize kwenye uhasibu.

Narudia tena kusoma certificate wakati una degree ni kupoteza muda.
Asante mkuu! Nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Mkuu kama huko ofisini na iyo masters ni ulazima ni vyema usome. Ila kama kuongeza ujuzi, jifunze skill ndogo ndogo zitakazo kupa certificate
Asante sana mkuu kwa ushauri. Nitaufanyia kazi.
 
Kuliko kusoma certificate ni bora ukasome pograduate degree ya MBA pale jalalani. Au kama gpa inaruhusu kasome masters ya MBA kabisa then kwenye hiyo master una specialize kwenye uhasibu.

Narudia tena kusoma certificate wakati una degree ni kupoteza muda.
Kasome post graduate diploma ya uhasibu
 
Back
Top Bottom