Curl usiweke,,,niliwahi uliza saloon moja kusema curl shngap?? Nikaambiwa ni elfu 40 nikashangaaa kwann mana tushazoea dawa ilizidi sana 13,, akasema kwasababi curl ni mbaya sana na hata saloon wanazoweka curl ni chache(fuatilia)
Km unataka nywele ya dawa weka weave then nunua mafuta ya weave utapendeza sana tu,,curl sikushauri