WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Wakuu
Nimekua mwajiriwa wa kampuni flani binafsi kwa muda wa miaka miwili sasa,nimepata uzoefu mzuri tu wa kuweza kuendesha firm yangu pia.
Nimefanya kazi na mwajiri wangu vizuri tu ila kwa siku kadhaa imetokea kama msuguano hivi basi nami mood ya kufanya kazi ikaisha,niko kwenye position ya technical (yaani jikoni),products zote tunazouza nimezibuni mimi (yaani methods of manufacturing na designing yote ni mimi).Sasa nataka nifungue biashara inayofanana na boss wangu ila ninataka ni base kwenye product ambazo hatengenezi yeye,bidhaa zenyewe ni natural fragrances and food flavours km vile Vanilla,strawbery,cloves,mint,ginger,cinnamon flavours.
Nataka niwe natengeneza mwenyewe afu soko langu nilikua na-target kwa
1.Watengeneza marashi na sabuni (cosmetic and perfume sector)
2.Bakery industries
3.Dairy industries
4.Hospitality sectors na
5.Domestic users.
Nina elimu ya chuo kikuu na hii ndio professional yangu lakini sijawahi kufanya biashara ya aina yoyote pia sina mtaji wa kugharamikia initial cost kwa sababu hii biashara inahitaji initial investment kubwa.
Sasa wakuu nakuja kwenu kuomba ushauri,nifanyeje ili niweze kufanikisha lengo langu? Nategemea nikipata pesa ya kuconstruct equipment kwa kuanzia,nitaajiri watu wa masoko na kuweza kuitangaza na kubrand product zangu.Technical na manufactural engineering nitasimamia mwenyewe,nahitaji nisajiri kwanza mawazo yangu km kampuni ili nianze utekelezaji
Vifaa ninavyohitaji ni vifuatavyo.
1.Essential oil extractor (steam distiller)
2.Spice grinder milling machine.
5.Flavour extractor equipment etc.
Raw materials nina-focus kufanya contract farming na wakulima wa viungo na vionjo wa vyakula.
Mfano,wakulima wa ginger (Tangawizi),mdalasini,strawbery,karafuu nk.
Kuhusu Soko naamini itakua ngumu mwanzoni ila nitatoboa badae maana kwa Tanzania hamna kiwanda kinacho-produce organic natural food flavours na viwanda vya maziwa vingi wanatumia sana artificial food flavours.
Naomba ushauri wenu na Mungu awabariki.
NB:Nahitaji ushauri kijasiriamali,huenda nikapoteza ajira yangu soon,sasa nimeamua kuchukulia positively hii changamoto
Nimekua mwajiriwa wa kampuni flani binafsi kwa muda wa miaka miwili sasa,nimepata uzoefu mzuri tu wa kuweza kuendesha firm yangu pia.
Nimefanya kazi na mwajiri wangu vizuri tu ila kwa siku kadhaa imetokea kama msuguano hivi basi nami mood ya kufanya kazi ikaisha,niko kwenye position ya technical (yaani jikoni),products zote tunazouza nimezibuni mimi (yaani methods of manufacturing na designing yote ni mimi).Sasa nataka nifungue biashara inayofanana na boss wangu ila ninataka ni base kwenye product ambazo hatengenezi yeye,bidhaa zenyewe ni natural fragrances and food flavours km vile Vanilla,strawbery,cloves,mint,ginger,cinnamon flavours.
Nataka niwe natengeneza mwenyewe afu soko langu nilikua na-target kwa
1.Watengeneza marashi na sabuni (cosmetic and perfume sector)
2.Bakery industries
3.Dairy industries
4.Hospitality sectors na
5.Domestic users.
Nina elimu ya chuo kikuu na hii ndio professional yangu lakini sijawahi kufanya biashara ya aina yoyote pia sina mtaji wa kugharamikia initial cost kwa sababu hii biashara inahitaji initial investment kubwa.
Sasa wakuu nakuja kwenu kuomba ushauri,nifanyeje ili niweze kufanikisha lengo langu? Nategemea nikipata pesa ya kuconstruct equipment kwa kuanzia,nitaajiri watu wa masoko na kuweza kuitangaza na kubrand product zangu.Technical na manufactural engineering nitasimamia mwenyewe,nahitaji nisajiri kwanza mawazo yangu km kampuni ili nianze utekelezaji
Vifaa ninavyohitaji ni vifuatavyo.
1.Essential oil extractor (steam distiller)
2.Spice grinder milling machine.
5.Flavour extractor equipment etc.
Raw materials nina-focus kufanya contract farming na wakulima wa viungo na vionjo wa vyakula.
Mfano,wakulima wa ginger (Tangawizi),mdalasini,strawbery,karafuu nk.
Kuhusu Soko naamini itakua ngumu mwanzoni ila nitatoboa badae maana kwa Tanzania hamna kiwanda kinacho-produce organic natural food flavours na viwanda vya maziwa vingi wanatumia sana artificial food flavours.
Naomba ushauri wenu na Mungu awabariki.
NB:Nahitaji ushauri kijasiriamali,huenda nikapoteza ajira yangu soon,sasa nimeamua kuchukulia positively hii changamoto