Ushauri: Nataka nijenge nyumba Dege NSSSF, Kigamboni

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Juzi niliamua kutembelea kigamboni hadi kimbiji nimepita pale mradi wa nssf dege kwa mbele huko nimeona kumetulia sana sasa wenyeji hebu leteni mchongo wa viwanja vya bei nafuu tuyajenge pesa ipo mfuko wa shati.
 
Nilidhani wewe unataka kusaidia serikali kujenga uwanja wa ndege .
Kichwa cha mada kimenichanganya
 
Rekebisha kichwa cha habari kina ukakasi. Unataka kujenga nyumba au barabara? Sema nataka kujenga nyumba maeneo ya Dege sijui NSSF
 
Kichwa cha habari kimechanganyikiwa...anyway viwanja standard kwa kigamboni vinaanzia 5m....
 
Heading na content ni tofauti.
Nikajua wewe ni kibosile fulani unataka kujenga barabara (kuisaidia serikali) au mkandarasi umejitolea.
 
Juzi niliamua kutembelea kigamboni hadi kimbiji nimepita pale mradi wa nssf dege kwa mbele huko nimeona kumetulia sana sasa wenyeji hebu leteni mchongo wa viwanja vya bei nafuu tuyajenge pesa ipo mfuko wa shati
Bajeti yako ni sh ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…