Ushauri: Natarajia kuhamia Dar es Salaam

Ushauri: Natarajia kuhamia Dar es Salaam

Mtu Fodontino

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2021
Posts
351
Reaction score
558
Ni Kijana ninayetarajia kuelekea Dar kutafuta degree katika moja ya vyuo vilivyopo mkoani Dar es Salaam sasa kama kijana kuna muda ntahitajika kujichanganya katika shughuli mbalimbali za kujipatia kipato nipate hela ya kodi, chakula n.k

Hivyo kwa wenyeji au waliowahi kuishi wanipatie maelekezo yatayonisaidia na kunijenga kisaikolojia na kifizikia kuelekea safari ya kutafuta maisha na kujiendeleza kimasomo
 
Ni Kijana nnaetarajia kuelekea dar kutafuta degree katika moja ya vyuo vilivyopo mkoan Dar es laam sasa kama kijana kuna mda ntahitajika kujichanganya katika shughuli mbalimbali za kujipatia kipato nipate hela ya kodi , chakula n.k hivyo kwa wenyeji au waliowahi kuishi wanipatie maelekezo yatayonisaidia na kunijenga kisaikolojia na kifizikia kuelekea safar ya kutafuta maisha na kujiendeleza kimasomo
Hakuna tofauti na ulipotoka.
But Eyes open in Every Stape .
 
Njoo ukijua Mihogo ya mia mia ni kifungua kinywa cha wengi hapa das'lam
 
"ukiingia mjini usishangae,UKISHANGAA UTASHANGAZWA Braza usizubae Ukizubaa UTAZUBAZWA" Stamina

Kuwa mjanja,jitume usibweteke ukawa kama nw(wanaume wa dar)dsm kila mtu mjanja ni ilo tu kwangu ngoja waje wengne wakushaur
[emoji1666][emoji1666]
 
Kaa mbali na ma slay queen tu. Ukijichanganya ukawaingia unaweza jikuta unauza mpaka utu wako ili tu uweze kukidhi haja zao.
 
anza kuzungukia maeneo ya mliman cite kujua ni bidhaa gani pale hawana uone hio fursa na kujua bei za vitu
 
Back
Top Bottom