Mkuu, huyo ndege kama anashamba lake, Fanya mauwaji kabisa! Lakini kama Hana, basi, achana na hasira hiyo mkuu
Nimepanda mahindi yangu na mwanzo nilipambana na viwavi jeshi. Sasa huyu ndege analeta madharau. Je, nimmalizie au Kigwangala atakuja juuView attachment 1427739View attachment 1427740
Sent using Jamii Forums mobile app