Ushauri ndugu zangu nini nifanye!

Ushauri ndugu zangu nini nifanye!

Gabriela

Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
57
Reaction score
15
Hbr wana jf nina mtaji wakutosha nataka ninunue costa mpya(i mean used from our local yard) ili nianze biashara ya usafiri jijin dar.. Naomba ushaur na mawazo yenu ktk hili. Asanteni
 
hilo nalo wazo,ila pia unaweza ukaenda mikoani,utapata hadi magobore mawili kwa bei ya chini yatakayohitaji service na repair ya uhakika,utapanda taratiibu,na utapata faida zaidi,,,hayo ni maoni yangu...ukiyaingiza mjini utafanikiwa
 
Back
Top Bottom