USHAURI: NHC kwanini msiboreshe pale Urafiki mkajenga apartments? Ni eneo zuri kibiashara

USHAURI: NHC kwanini msiboreshe pale Urafiki mkajenga apartments? Ni eneo zuri kibiashara

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau habari zenu !

Kila nikipita pale eneo la Urafiki zile flats pale zimesheni ofisi za makampuni ya mabasi mbalimbali, lile eneo naona ni eneo zuri na endapo NHC kama watajenga apartments (maghorofa) na maeneo ya ofisi hakika NHC watapiga sana pesa, pale ni hot cake sanaa, au yale majengo sio ya NHC ?

Yaan lile eneo nafikiri ni bora kuliko ile project ya morocco square
 
Pale Morocco wameshindwa nini kukamilisha zile Flats? Waje waweze urafiki?
 
Pale Morocco wameshindwa nini kukamilisha zile Flats? Waje waweze urafiki?
Nilisikia majuzi wakat wana zindua project yao kule dodoma.,.kuna fungu wamekatiwa na Gov. Kwa ajili ya project zao, nafikir ni pamoja na zile zilizo kuwa zikisuasua,
 
Ivi apartments za NHC chumba na sebule huwa zinaendaje wakuu? Na je vyumba viwili na seble je?
 
Jenga zako. Uwashinde NHC. Ujuaji mwingiii
 
Jenga zako. Uwashinde NHC. Ujuaji mwingiii
Nakutuma uwende unipelekee ombi langu nataka kuwekeza pale ww ntakupa naffasi ya kazi walau uwe bwana usafi pale. Itapendezaaa
 
Nilisikia majuzi wakat wana zindua project yao kule dodoma.,.kuna fungu wamekatiwa na Gov. Kwa ajili ya project zao, nafikir ni pamoja na zile zilizo kuwa zikisuasua,
Na ile 7/11 wameshindwa nini? Kodi za pango wanazokusanya zinaenda wapi?
 
Sijakuelewa mtoa mada unaposema "kama watajenga maghorofa" wakati pale pamejaa maghorofa na wapangaji wamejaa. Au unataka wajenge kwenye zile open space?
NB:Yale ni ya kiwanda cha urafiki sio NHC
 
Sijakuelewa mtoa mada unaposema "kama watajenga maghorofa" wakati pale pamejaa maghorofa na wapangaji wamejaa. Au unataka wajenge kwenye zile open space?
NB:Yale ni ya kiwanda cha urafiki sio NHC
Ule ni uchafu, ktk karne hii mapinduzi ya Real estate zile ni takataka za kutoa ,


Umeona pale Temeke sokota kama sikosei zile flats zimevunjwa sasa hata urafiki pale wavunje waje nna design nzuri zenye kuleta madhari nzuri ukizingatia pale lile eneo ni hot cake sana yaan kama wata demolish na kuja na project mpya nzuri mm i am sure yaan watauzaa balaaa na profit itarejea ata within 10 years
 
Wadau habari zenu !

Kila nikioita pale eneo la Urafiki zile flats pale zimesheni ofisi za makampuni ya mabasi mbalimbali, lile naona ni eneo zuri na endapo NHC kama watajenga apartments (maghorofa) na maeneo ya ofisi hakika NHC watapiga sana pesa, pale ni hot cake sanaa, au yale majengo sio ya NHC ?

Yaan lile eneo nafikiri ni bora kuliko atabile project ya morocco square
"atabile"ndio mkojo gani huo??
 
Kama NHC wamefanikiwa kuikarabati Magomeni Quarters na kujenga flats zenye apartments za kutosha, kwa nini wasichukue mafanikio hayo ya Magomeni kama mfano na mwanzo wa kukarabati Manzese,Tabata, Temeke, Gongolamboto Mbagala na sehemu zote zinazoitwa uswahilini? 🤔 🤔
 
Kama NHC wamefanikiwa kuikarabati Magomeni Quarters na kujenga flats zenye apartments za kutosha, kwa nini wasichukue mafanikio hayo ya Magomeni kama mfano na mwanzo wa kukarabati Manzese,Tabata, Temeke, Gongolamboto Mbagala na sehemu zote zinazoitwa uswahilini? 🤔 🤔
Mkuu umetoa mawazo + sana yaan pale urafik palivyo yaan ukitaka kwenda town, sijui Taifa, sijui bugurun, sijui mbezi, yaan ni bonge la location
 
Back
Top Bottom