Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Habarini wadau,
Katika kujifunza kwa ukaribu,ufatiliaji wa kukuza na kuwalea samaki aina ya Sato ambao nimechimba kijibwawa ka 40 sqm kwenye mazingira ya nyumbani kwangu kama darasa ili huko mbeleni niongeze mengine mpaka 6, kwa ulishaji nimekua natumia zile industrial floating pellets pekee.
Kuna mfugaji akanishauri pia kutumia uduvi alinambia kuwa samaki kuwalisha hii industrial food pekee watakua haraka ila hawawi watamu.
Katika kupekua pekua zaidi kwa mtandao nikakutana na maelekezo ya nutrients na aina ya ingredients ratio za aina za vyakula ambavyo vinaweza kukupa food formula mbalimbali za ulishaji samaki, mbali zaidi kuna taasisi zinaonesha pia unaweza ukatengeneza locally hizo floating pellets ila katika masomo yao naona wanaonesha mwanzoni ila results ya lengo la final product ( kuelea) hawaoneshi.
Nimejaribu mara kadhaa ila naona nafeli, natoa chakula ila mwisho wa siku kinakua denser than water hivyo kinazama.Niliweka vifaranga 300 wanaelekea mwezi 4 tangu October 10.
Je ni wapi naweza kuwa nakosea.
Ingredients? Ukaushaji? Au nini cha ziada kufanya chakula kiweze kuelea.
Ratio yenye nimetumia
Unga wa dagaa 25%
Unga wa pumba za mahindi 25%
Unga wa Soya 20%
Mashudu ya alizeti 15%
Vitamin ( Pig Mix) 10%
Unga wa muhogo/ Ngano 5%
Nilichanganyia cooking oil na maji kiasi kama nakanda ngano ya chapati
Kifaa nilitumia kile cha kusagia nyama cha mkono.
Nilikikausha siku 1-2 kwa jua la Dar.
Katika kujifunza kwa ukaribu,ufatiliaji wa kukuza na kuwalea samaki aina ya Sato ambao nimechimba kijibwawa ka 40 sqm kwenye mazingira ya nyumbani kwangu kama darasa ili huko mbeleni niongeze mengine mpaka 6, kwa ulishaji nimekua natumia zile industrial floating pellets pekee.
Kuna mfugaji akanishauri pia kutumia uduvi alinambia kuwa samaki kuwalisha hii industrial food pekee watakua haraka ila hawawi watamu.
Katika kupekua pekua zaidi kwa mtandao nikakutana na maelekezo ya nutrients na aina ya ingredients ratio za aina za vyakula ambavyo vinaweza kukupa food formula mbalimbali za ulishaji samaki, mbali zaidi kuna taasisi zinaonesha pia unaweza ukatengeneza locally hizo floating pellets ila katika masomo yao naona wanaonesha mwanzoni ila results ya lengo la final product ( kuelea) hawaoneshi.
Nimejaribu mara kadhaa ila naona nafeli, natoa chakula ila mwisho wa siku kinakua denser than water hivyo kinazama.Niliweka vifaranga 300 wanaelekea mwezi 4 tangu October 10.
Je ni wapi naweza kuwa nakosea.
Ingredients? Ukaushaji? Au nini cha ziada kufanya chakula kiweze kuelea.
Ratio yenye nimetumia
Unga wa dagaa 25%
Unga wa pumba za mahindi 25%
Unga wa Soya 20%
Mashudu ya alizeti 15%
Vitamin ( Pig Mix) 10%
Unga wa muhogo/ Ngano 5%
Nilichanganyia cooking oil na maji kiasi kama nakanda ngano ya chapati
Kifaa nilitumia kile cha kusagia nyama cha mkono.
Nilikikausha siku 1-2 kwa jua la Dar.