Ushauri: Nifanyeje ili nijue kuhonga

Ushauri: Nifanyeje ili nijue kuhonga

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habari ya leo jamani,
Nimekuja kuomba ushauri mwenzenu.

Hebu nisaidieni nifanyeje ili nijue kuhonga maana kila nikijaribu kuhonga nashindwa.
Saa nyingine naweza kujipanga kabisa kwamba mwezi huu lazima nimpatie Hadija wangu walau elfu tano ya kununulia lip shine na kusafishia kucha, ila mwezi ukifika tu hola.

Yaani Hesabu za ajabu za uchumi huwa zinakivurunda kichwa changu ghafla, mara nakuta ile hela niliyopanga kumhonga Hadija wangu mbona kama hainiletei return au cash profit.

Basi huwa najipanga tena labda mwezi unaofuata. Tena hujirudia yale yale mambo ya ajabu ya hesabu za uchumi.

Nipeni ushauri ndugu zangu nifanyeje.
 
Tembelea sehemu zenye wanawake wazuri na wanaojua kuvaa wakapendeza
 
Ina maana unataka kuweka pesa zako karibu na zip? Hujui zip inatafuna pesa bila huruma ? Nakushauri ukiweka pesa mfukoni weka mfuko wa nyuma angalau upo mbali na zip. Ukitoa pesa kwa mwanamke mpe kwa lengo la kumsaidia sio kuhonga.
 
Habari ya leo jamani,
Nimekuja kuomba ushauri mwenzenu.

Hebu nisaidieni nifanyeje ili nijue kuhonga maana kila nikijaribu kuhonga nashindwa.
Saa nyingine naweza kujipanga kabisa kwamba mwezi huu lazima nimpatie Hadija wangu walau elfu tano ya kununulia lip shine na kusafishia kucha, ila mwezi ukifika tu hola.

Yaani Hesabu za ajabu za uchumi huwa zinakivurunda kichwa changu ghafla, mara nakuta ile hela niliyopanga kumhonga Hadija wangu mbona kama hainiletei return au cash profit.

Basi huwa najipanga tena labda mwezi unaofuata. Tena hujirudia yale yale mambo ya ajabu ya hesabu za uchumi.

Nipeni ushauri ndugu zangu nifanyeje.
Njoo ufanyie mazoezi ya kuhonga kwangu ukifuzu unarudi kumhonga hadija.Ntakufundisha vizuri na utakua expert.
 
Amna kitu kizuri kutizAma kama urembo wa manzi wako ambao umelipia .acha kabisa
 
Habari ya leo jamani,
Nimekuja kuomba ushauri mwenzenu.

Hebu nisaidieni nifanyeje ili nijue kuhonga maana kila nikijaribu kuhonga nashindwa.
Saa nyingine naweza kujipanga kabisa kwamba mwezi huu lazima nimpatie Hadija wangu walau elfu tano ya kununulia lip shine na kusafishia kucha, ila mwezi ukifika tu hola.

Yaani Hesabu za ajabu za uchumi huwa zinakivurunda kichwa changu ghafla, mara nakuta ile hela niliyopanga kumhonga Hadija wangu mbona kama hainiletei return au cash profit.

Basi huwa najipanga tena labda mwezi unaofuata. Tena hujirudia yale yale mambo ya ajabu ya hesabu za uchumi.

Nipeni ushauri ndugu zangu nifanyeje.
Meneja kama meneja[emoji23]
 
Back
Top Bottom