Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
Habari zenu wadau wenzangu wa biashara na uchumi,
Ni kweli niko kwenye transition period, kutoka level moja ya kiuchumi, nahitaji kufika hatua nyingine!Mpango wangu uko hivi wadau, nimejiandaa na Tshs laki 4 net.
Nahitaji mawazo yenu bora ya biashara ili nichanganye na akili zangu hapa nilipo! Natafuta biashara ambayo naweza kuifanya, kama sole entrepreneur, biashara hiyo iwe na uwezo wa kuingiza si chini ya net profit Tshs elfu 40 kwa siku.
Lengo langu ni kwamba, baada ya miezi mitano niwe angalau na mtaji wa Tshs milioni 4+ nihamie hatua nyingine!
Kwa sasa niko Dar es salaam.
....................................
....................................
Mawazo yenu ni muhimu sana wadau, nahitaji michanganuo ambayo itatusaidia sote, si mimi tu.
Karibuni
Ni kweli niko kwenye transition period, kutoka level moja ya kiuchumi, nahitaji kufika hatua nyingine!Mpango wangu uko hivi wadau, nimejiandaa na Tshs laki 4 net.
Nahitaji mawazo yenu bora ya biashara ili nichanganye na akili zangu hapa nilipo! Natafuta biashara ambayo naweza kuifanya, kama sole entrepreneur, biashara hiyo iwe na uwezo wa kuingiza si chini ya net profit Tshs elfu 40 kwa siku.
Lengo langu ni kwamba, baada ya miezi mitano niwe angalau na mtaji wa Tshs milioni 4+ nihamie hatua nyingine!
Kwa sasa niko Dar es salaam.
....................................
....................................
Mawazo yenu ni muhimu sana wadau, nahitaji michanganuo ambayo itatusaidia sote, si mimi tu.
Karibuni