Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,877
- 4,522
Natokaje hapa, ndo ushauri ninaohitaji.
Hapa jirani kuna pub mpya imefunguliwa mwezi sasa, kuna pisi za hatari …. kuna hii moja juzi nilikuja ikanichekeachekea leo nilikuja mahsusu kwa ajili ya kuomba namba nikasema nizuge na Valeur ndogo nina buku tano tu. Sa kaleta Viceroy ndogo na nimechungulia menu hapa bei yake ni 10,000.
Sikujua, kanifungulia na nimeshapiga puff zangu kadhaa hapa ndo nashtuka. Serious, nahtaji ushauri wanangu. Sina issue na namba kabisa nishachanganyikiwa, nataka namna ya kutoka tu. Sina kitu kabisa
Hapa jirani kuna pub mpya imefunguliwa mwezi sasa, kuna pisi za hatari …. kuna hii moja juzi nilikuja ikanichekeachekea leo nilikuja mahsusu kwa ajili ya kuomba namba nikasema nizuge na Valeur ndogo nina buku tano tu. Sa kaleta Viceroy ndogo na nimechungulia menu hapa bei yake ni 10,000.
Sikujua, kanifungulia na nimeshapiga puff zangu kadhaa hapa ndo nashtuka. Serious, nahtaji ushauri wanangu. Sina issue na namba kabisa nishachanganyikiwa, nataka namna ya kutoka tu. Sina kitu kabisa