Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Wakubwa najua humu ndani wapo matabibu wanaweza kunisaidia leo nilifanyiwa sperm analysis nikapata majibu yafuatayo.
Sperm mophology imeonekana baadhi ya shahawa kwa kiwango kukubwa zimeonekana zina umbo ambalo si sahihi hazina mkia wala kichwa.
Spem viscocity haipo sawa hazivutiki, sperm color ni yellow dk kanambia kwa matokeo hayo ni ngumu kumpa mwanamke mimba .
Kanambia nirudu kesho ula kabla sijarudi.
Naomba JF doctor mniambie je, naweza kurudisha sperm quality yangu namimi nipate family au ndo siwezi tena.
Msaads tafaadhali.
Kwa nini unataka upate mtoto/watoto? Hii nchi imeshajaa hiyo ni habari njema kabisa kwanza ikitokea wanaume wengi kama wewe Mungu ashukuliwe, hakuna njia nyingine ya kupunguza watu!