Subiri subiri upone hata miezi mitatu hivi maana naogopa ukijakumbana na mikikimikiki ya shighuli kidonda kikaaribika tena, pia operation zina tabia ya kupona kwa haraka kwa Nje ila NDANI bado bado,, jifanyie mazoezi mepesi mepesi tu, wife yupo mapenzi yapo na wewe mungu amekuvusha hapo kwenye operation bado upo. Pole sana kwa kuumwa. Nasisitza ujaribu kusubiri km INA uwezekano, subiri pia USHAURI wa madokta wa ukweli mm nimeongelea experience tuu.