Ushauri: Nimempenda binti aliyepooza mwili, sielewi kama niendeleze ukaribu naye au lah

Ushauri: Nimempenda binti aliyepooza mwili, sielewi kama niendeleze ukaribu naye au lah

Hamad yusuph

Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
45
Reaction score
33
hii ni similuzi niliyoitunga nilpokuwa shuleni Pugu Sec. School yaani ni BOEZ. Ilkuwa mwaka 2020 October baada ya kumaliza form 4 matokeo yangu hayakuwa mazuri kuendelea na advance yaani kidato cha tano.

Basi nilipangiwa chuo cha NIT, kipo Unungo jijini Dar es Salaam nilisomea kozi ya Accounting and Transport Certificate.

Siku ya kuripoti chuoni, maana ilkuwa siku yangu ya kwanza kufika mahala hapo kwa aibu nyingi sana sikuwahi kuzoeana na mtu yoyote. Siku inayofatia niliripoti darasani kwa kuanza masomo chuoni hapo.

Nilifanikiwa kuona sura nyingi kama wanafunzi wa chuoni hapo kwani nilikaribishwa sana na watu wa hapo lakini nilimuona msichana mzuri lakini amepooza (paralysis), kwakweli alikuwa mzuri sana

Masomo yakaendelea lakini macho hayakuacha kumtazama msichana huyo. Nikajisemea moyoni kweli sisi sote ni walemavu wa hapo mbeleni, Mungu hajatuumba perfect.

Basi nilifulah sana na mazingira ya hapo, lakini yule msichana hakuwa na mtu wa kumuanglia.

Je, niendeleze ukaribu naye au nifanyaje?
 
Mkuu! Naomba uandike maneno kwa kirefu
Story yako itavutia sana

Unavyofupisha maneno mimi macho yananiuma....
 
stoly la hataree....Mi nakula nyeto vibaya mno mazeee dah maana hata nikipata mtu huwa nakeshea akijitaidi sana siku mbili anakimbia mazima nabaki nakula nyeto mi sina uvumilivu sijui nimeumbwaje yaani mpaka najishangaa mwenyewe
 
Back
Top Bottom