Ushauri: Nina dalili ya busha

jbernad2

Senior Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
112
Reaction score
86
Nimekwenda hospitali nimeambiwa ninadalili za mshipa au busha. Ushauri wenu ili hali hii itoweke.
 
pole ndugu, hawajakupa hata ushauri au njia ya matibabu? Pili ningekushaur uende kwa wataalam wengne uskie nao wanasemaje na wakupe solution pia, usiwe na shaka hakuna lisilo na ufumbuz. Mungu yu pamoja nawe.
 
Nenda mwananyamala hospital watakusaidia wengi wamesaidiwa.
 
Ni vigumu kupata ushauri mzuri kwa jinsi uzi wako ulivyouweka, inaonekana bado Daktari aliyekuona yuko katika hatua ya uchunguzi na hajagundua ni kipi kinachokusibu kati ya busha na mshipa ambavyo ni maradhi mawili tofauti yanayohitaji tiba tofauti.

Nakushauri urudi tena kwa Daktari wako aweze kukufafanulia vizuri kile alichokigundua na zaidi sana kukutoa wasi wasi kwa kuwa hayo maradhi mawili yanatibika kwa kufanya upasuaji mdogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…