[USHAURI] Nina milion 80. Naomba msaada.

Wekeza 30M kwenye kilimo the rest weka benki zitulie kwenye Term deposits wakati unajipanga
 

Hizo rangi zinatuumiza macho, kwani ukiandika kawaida hutasomeka? anyway umemuuliza maswali ya maana ila toa hizo rangi nyekundu wengine tuna mashetani hayapendi vitu vyekundu
 
Kuoa na kuolewa kuna mahusiano gani na ombi lake?
 
Timiza ndoto yako mwanangu.Hata Jk alikuwa na ndoto akiwa na raisi ataenda nje ya nchi na kupiga picha na wasanii maarufu duniani.Sasa anazitimiza
 
Kuoa na kuolewa kuna mahusiano gani na ombi lake?

mkuu, status ya kuoa au kuolewa ina mchango na nafasi kubwa sana katika usimamizi wa biashara kwani muda na nafasi ya mtu aliyeoa au kuolewa haiwezi kuwa sawa na mtu asiyeoa au kuolewa, pia hata katika kufanya maamuzi ya kibiashara hutofatiana kati ya aliyeoa au kuolewa na wale wasela.
 
Chukua M50 weka katika Treasury Bond upate 13.50% kwa mwaka. Nyingine tumia kidogo kidogo na unapata iyo asilimia. Ambayo ni sawa Million 6.75
 
Chukua M50 weka katika Treasury Bond upate 13.50% kwa mwaka. Nyingine tumia kidogo kidogo na unapata iyo asilimia. Ambayo ni sawa Million 6.75
Kabla ya kushauri uwe unaangalia thread ni ya mwaka gani
 
Hebu pitia TRA, lazima watakuwa na la kukushauri.
 
Ku_fixed hela bank kwa mlengo wa kutuliza akili ni wazo bovu na sio bora pia, thamani ya pesa tends to drop its value depends on time duration, bidhaa uliyonunua leo haitakua na thamani sawa mpaka mwakani in which kwa kiasi hicho hicho unawwza kuizalisha million 80 vizuri sahivi kuliko baada ya mwaka mmoja, tatizo tunasoma lakini hatuna uwezo wa kuitumia elimu yetu vizuri......
 
Ndugu wana Jf,nimebahatika kupata million 80.Naomba msaada wa biashara gani nifanye ili nisiwe tena Maskini.
Chukua tahadhari TRA wanaweza kuja kuhesabu hizo hela kwa madai ya kukwepa kodi, hata kama bado hata fremu haujawa nayo tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…