Ushauri: Nina million 10 nahitaji gari ya kutembelea

Man in black

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
361
Reaction score
378
Heri ya mwaka mpya wakuu niwatakie 2020 yenye mafanikio tele kimwili na kiroho.

Haya back to the subject, mimi ni mzoefu wa magari kiasi fulani hapa nimekuja nipate mawazo ya wadau ili kuongeza options, budget ni Milioni 10 hebu naombeni recommendation ya gari ipi itanifaa kwa bei hiyo.

Ahsanteni na Weekend njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri ya mwaka mpya wakuu niwatakie 2020 yenye mafanikio tele kimwili na kiroho.

Haya back to the subject, mimi ni mzoefu wa magari kiasi fulani hapa nimekuja nipate mawazo ya wadau ili kuongeza options, budget ni Milioni 10 hebu naombeni recommendation ya gari ipi itanifaa kwa bei hiyo.

Ahsanteni na Weekend njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ME: Hiyo hela bora uwekeze kwenye kilimo cha matikiti maji ambapo kwa ekari moja utavuna matikiti 2000*2000= 4,000,000. Utapata milioni 8 kama faida ukilima ekari 2.

YOU:Brother mimi nimetaka ushauri wa gari sijaomba kupewa summary za kilimo, pili hujui mfuko wangu ukoje wewe kama unataka kilimo tafuta mtaji wako ulime.

ME: Hiyo milioni 10 unaweza kujenga nyuma ya vyumba vitatu au kupata kiwanja eneo zuri na mwisho wa siku ukauza kwa faida.

YOU: Aliyekwambia sijajenga nani? Hadi nanunua usafiri tayari nina nyumba na viwanja viwili, bro hatuko level moja.

TAFUTA GARI ZURI AMBALO MWENYEWE UNAPENDA, 10M UTAPATA CHOMBO CHA UHAKIKA.
 
 
Angalia gari ambazo zipo nyingi hapa nchini kwetu na ambazo upatikanaji wake wa spare parts ni rahisi na pia angalia ulaji wake wa mafuta, hapa unaweza kufikiria gari kama vile ist, carina ti, premio , noah, rav 4 na nyingine nyingi lakini pia jambo la msingi ni kukumbuka njia zetu ambazo utakuwa unatumia kuendeshea gari yako muda mwingi ili uweze kufanya choice nzuri kma ni gari ya juu au hata ya chini pia yangu ni hayo lkn kwa mm ningekushauri uchukue Toyota Carina TI hutakuja kujutia pesa yako bro.
 
Hili gari linapondwa sana na washamba lakini ni gari bora na stable kwa min car zote kwa sasa bongo...

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Nadhani ni gari bora kwa wabahili mkuu na wanaooenda kujibana bana
 
Sikubaliani na wewe.....huwezi kusema kuwa IST ndiyo gari bora ndogo kuliko gari zote bongo...

Vipi kuhusu Volkswagen Polo na Passat? Vipi kuhusu Subaru Impreza?Nissan Tiida?....hizi ni baadhi tu ya gari ndogo zinazofanya vizuri...uwe tu na hela ya kuzihudumia huduma stahiki..
Hili gari linapondwa sana na washamba lakini ni gari bora na stable kwa min car zote kwa sasa bongo...

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la heri katika kulisaka gari la ndoto yako ila mi siku niziangukia za kutosha ni mwendo wa Dodge Ram, Chevrolet Silverado au Ford F-Series hasa SVT Raptor. Ndo vyombo navyotamani kutumia kwa matembezi
 
Kila la heri katika kulisaka gari la ndoto yako ila mi siku niziangukia za kutosha ni mwendo wa Dodge Ram, Chevrolet Silverado au Ford F-Series hasa SVT Raptor. Ndo vyombo navyotamani kutumia kwa matembezi
HEMI STR8

dodge
 
Volkswagen Polo na Passat? Vipi kuhusu Subaru Impreza?Nissan Tiida?.

Hizo gari mtu asipokua anaishi kwny majiji (Dar,Arusha,Mwanza labda Dom) anazihudumiaje?

dodge
 
Huwezi kufananisha hizo gari na IST in terms of :- MUONEKANO, ULAJI WA MAFUTA, UPATIKANAJI WA VIFAA...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Safi mkuu...jinga sn hilo et lenyew ndo linajua maisha kumbe hamna lolote hata kilimo halijui bahat nasibu
 
Volkswagen Polo na Passat? Vipi kuhusu Subaru Impreza?Nissan Tiida?.

Hizo gari mtu asipokua anaishi kwny majiji (Dar,Arusha,Mwanza labda Dom) anazihudumiaje?

dodge
You're right....hata mimi simshauri mtu anayeishi nje ya mikoa uliyotaja kumiliki gari tofauti na Toyota... unless kama kipato chake ni kikubwa sana..
Lqkini suala la kuhudumia gari ni suala linalojitegemea....na suala la ubora wa gari ni suala linalojitegemea...

Mwisho wa siku tunakubaliana tu na hali kuendesha Toyota kulingana na maeneo ya nchi yetu mengi yapo Tanganyika...
Lakini kuna brand nyine nje ya Toyota ambazo ni nzuri sana na bei ni very affordable....

Ila kutokana na kasi ya utandawazi, nqamini ndani ya miaka mitano brands nyinginezo tofauti na Toyota zitqkuwa haziogopwi tena kwenye maeneo mengi ya nchi yetu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…