Ushauri: Nina million 10 nahitaji gari ya kutembelea

Huwezi kufananisha hizo gari na IST in terms of :- MUONEKANO, ULAJI WA MAFUTA, UPATIKANAJI WA VIFAA...

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Ubora wa gari haupimwi kwa Ulaji wa mafuta, upatikanaji wa spea na muonekano...kuna mabo mengi zaidi ya hayo...
Nomba utofautishe RELIABILITY na DURABILITY..

Vigezo ulivyovitaja ni vigezo vinavyomuwezesha mtu wa chini na yeye aweze kumiliki Usafiri...

Na ndiyo maana ukisikia mtu analia lia Nissan, Vw, Bmw hazifai....jua wazi mtu huyo uchumi wake haujakaa vizuri kumiliki magari husika coz spea zake ni ghali
Only that.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili gari linapondwa sana na washamba lakini ni gari bora na stable kwa min car zote kwa sasa bongo...

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Gari ni zuri ndiyo. Lakini liko chini sana. Sehemu zenye barabara za mashimo na hasa wakati wa mvua ist haifai, bora hata cami.
 
BAJAJI, TVS Mpyaaaa. Na pesa inabaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…