Ushauri: Nina mkopo ila sikuingiziwa hela ya field

Ushauri: Nina mkopo ila sikuingiziwa hela ya field

WA KG

Member
Joined
Sep 24, 2014
Posts
39
Reaction score
5
Mimi ni mwanafunz wa udom.mwez wa 7-9 nilkuwa miongon mwa wanafunz waliofanya field lkn baada ya pesa kuingzwa kwenye akaunt za wanafnz mm skupewa japo nina mkopo. naomba ushaur nitafanyaj kupata hak yang ukizingatia 2liondoka chuo bila ya kusain
 
nenda chupn kAbanane na loan officer wako..ela yako ipo tu
 
nenda chuon kAbanane na loan officer wako..ela yako ipo tu
 
Back
Top Bottom