Subiri tu ukishatengenezwa ndio utajua maana ya hiyo kauli.
hahahah hahah duh!! asubili kutengenezwa kwanza ndo akili itamkaa vizuriSubiri tu ukishatengenezwa ndio utajua maana ya hiyo kauli.
Mana hao kina AIM, QNET, FOREVER, ORIFLAME n.k washaongelewa sana.
"Ruzige"
Fanya biashara nyingine ndugu, hamna kitu utapata huko zaidi ya kupoteza pesa na muda wako.