Ushauri: Nina muda mwingi wa ziada baada ya kazi, nifanye biashara gani?

Ushauri: Nina muda mwingi wa ziada baada ya kazi, nifanye biashara gani?

benja

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
320
Reaction score
215
Habari za muda huu, poleni na majukumu
Wadau ninaomba mnishauri, Mimi ni mfanyakazi katika kampuni ya watu binafsi, huwa ninakua free kila siku kuanzia saa kumi jioni, wkend huwa siendi kazini, nafikiria kuanzisha biashara yangu binafsi kwasasa halafu niwe naendelea kwenda kazini na baadae niweze kuipanua hii biashara nikishakuwa stable, naomba ushauri wenu nianzishe biashara ya aina gani? nina mtaji wa Tsh 7,000,000/-, ninaomba mnipe mawazo yenu.
 
Angalia fursa iliopo kwenye mazingira unayotaka anzishà biashara pia uwekeze juhudi na maarifa kwenye hiyo biashara.
 
Mkuu unaonaje tukishirikiana??,mimi sina hata senti lkn Mawazo yangu ndo utakuwa mtaji,Tutatumia pesa yako kufanya biashara nzuri kabisa kwa kuwa mimi nina muda wa kutosha basi utaniachia usukani wewe kazi yako itakuwa ni kufuatilia km mahesabu yanaenda sawasawa.Uni PM km unakubali.
 
biashara inaanzia kwenye passion kwanza.

na mazingira uliyopo yanahitaji nini?
 
Back
Top Bottom