Ushauri: Nyumba nzuri ni ramani nzuri na ujenzi mzuri

mpenda1961

Senior Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
123
Reaction score
78
Ili uwe na nyumba nzuri unatakiwa kuwa na ramani iliyodesginiwa vizuri na ya tofauti na kipekee na inabidi isimamiwe vizuri wakati wa ujenzi

kwa ushauri wa maswala ya ujenzi na ramani za nyumba usisite kututafuta.

tunafanya pia landscape design na ujenzi wake.

hapo chini ni baadhi ya kazi tulizowafanyia Wateja wetu

karibuni sana

+255764183123

0717947500
 

Attachments

  • 2.jpg
    83.2 KB · Views: 1,458
  • 3.jpg
    40.8 KB · Views: 1,125
  • t5.jpg
    88 KB · Views: 1,283
  • 6.jpg
    217.3 KB · Views: 1,709
  • T4.jpg
    75.8 KB · Views: 808
Hizo kazi ziko wapi? Should we only take you at your word? Tuone hizo kazi ndipo mjadala uanze!!
 
Tupia sample ya nyumba ya vyumba vinne vya kulala
 
tupe na gharama , kwa mfano nyumba ya roshen moja inaweza kugarimu sh ngapi
 
Mwamba picha azifunguki.. Nashindwa kuelewa biashara itaanza kufanyika vitu..
 
Ingefaa tuone kazi ulizofanya, hii michoro ya 3d presentation.
 
gharama ya nyumba inategemea sana ukubwa wa vyumba, idadi ya vyumba, site yenyewe kama ni flat au sloped site, aina ya ujenzi utakaotumia.

kwa hiyo inategemeana na mambo mengi wakuu

kwenye sloped site gharama ya msingi itakuwa kubwa ambayo itapelekea kubadilisha gharama nzima ya ujenzi

cc Al Bashir
 
mgonga mawe

kama hazifunguki nipe namba nikutumie whatsapp
 
ok

baadhi ya kazi site
 

Attachments

  • 20160206_120433.jpg
    238.8 KB · Views: 455
  • 20160206_112616.jpg
    319.1 KB · Views: 497
  • Screenshot_2015-12-26-15-45-12.png
    107.4 KB · Views: 448
  • IMG-20151228-WA0055.jpg
    100.2 KB · Views: 441
warehouse design
 

Attachments

  • airport side.jpg
    35.2 KB · Views: 386
office plan
 

Attachments

  • AIRCO OFICE JNIA.JPG
    85.4 KB · Views: 410
fence plan
 

Attachments

  • IMG-20151217-WA0033.jpg
    36.6 KB · Views: 379
  • IMG-20151217-WA0033.jpg
    36.6 KB · Views: 389
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…