ushauri please

oldd vampire

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
253
Reaction score
52
habari ya leo wana jf doctor,ngja nianze hivi mara ya mwisho nimehave sex mwez wa tano hapo,na nikashika mimba sasa nikawa natoa harufu mbaya sana ukeeni yani kiasi nikikaa na watu wanaisikia nikaenda hospital wakaniambia kua hii hali yaeza sababisha mimba kuharibika maana ilizidi na nilikua natoa discharge ya njano hivi,wakaniambia niitoe mana hakuna jinsi wakanitoa na ilifika miez mitatu,na nikapewa dawa nikapona hiyo harufu yote ikaisha,sasa juzi nimemaliza kubleed naona harufu imerudi,nimeenda tena leo hospitali wameniambia ni magonjwa ya zinaa(but ni hospitali tofauti na walionitoa),sasa nashindwa kuelewa nimepataje maana sijafanya sex tangu may,naomba ushauri,mana kuna sehemu nyingne nilisoma net nikaambiwa inaitwa vaginal odour na inasababishwa na imbalance between bad and good bacteria,na hawajasema kama inasababishwa na sex pekeake
 
pole sana dada. But matatizo ya vaginal odour yanaweza sababishwa na mabo lukuki na si ngono peke yake. tatizo kubwa sana ambalo lipo ni kama vile harufu za kinywa na pua huwa ni bacteria ambao wakati wa metabolism yao hutoa taka mwili hizo kwa namna hiyo. but pia aina ya dawa inaweza kukusababishia.

to me it sounds like una bactria infection ambayo si lazima itoke kwenye zinaa tu bali pia kwenye wadudu hatari wa miili yetu. ushauri nenda hospitali wakufanyie culture ujue ni aina ani ya bacteria wakupe dawa sahihi. epuka matumiz ya dawa bila kuwa na maarifa sahihi juu ya ugonjwa huo.
 
waweza fanya haya ili kupunguza harufu.

nawa maji ya uvuguvugu yenye chumvi kwa mbali, mara 3 kwa siku. pia weka liners kwenye chupi ili maji maji hayo yasikudondokee kwenye chupi ikanuka hii utaibadilisha walau kila unaponawa. kila ukienda haja ndogo nawa kwa maji safi kabisa kisha kausha uchi uwe mkavu kabisa. waweza kuwa na vijitaulo vidogo kama vi 3 hivi kwenye pohi yako ili vikusaidie kazi ya kujifuta. pia paka mafuta ya vaseline katikati ya mapaja haya yatakufanya uschubuke kwa uvaaji wa lainers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…