mamkindi
Member
- Mar 14, 2012
- 61
- 5
Nina tatizo la kutokuwa na mzunguko wa hedhi ambao ni regular, kuna wakati unakuwa baada ya siku 26, 27,28,29,30,na 33 kwa kifupi naweza kuwa na mzunguko mfupi au mrefu na hauna mpangililio. kwa sasa nimefikilia hatua ya kutaka kupata mtoto, nishaurini wanaJF nifanyeje au ni siku zipi naweza kupata ujauzito